Tag: trending videos
Rais Samia awaeleza viongozi wa Afrika njia ya kuwasaidia vijana
Rais Samia Suluhu Hassan amesema njia pekee ya kuwa na vijana watakaosaidia kulijenga taifa lenye maendeleo kwa siku za mbeleni ni kuwekeza kwenye mta [...]
Rais Samia ampa milioni 2 Mariam kwa kukumbatia watoto njiti
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pongezi kwa Mariam Mwakabungu (25) anayejitolea kukumbatia watoto njiti waliotelekezwa Hospita [...]
Wavulana wakimbiza matokeo kidato cha sita 2023
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) leo limetangaza matokeo ya mtihani ya kidato cha sita kwa mwaka 2023 huku ufaulu wa jumla kwa watahiniwa wa shule [...]
Matokeo kidato cha sita 2023, 11 wafutiwa
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limefuta matokeo ya watahiniwa 11 wa kidato cha sita baada ya kubainika kufanya vitendo vya udanganyifu katika mti [...]
Ajira mpya 77 Kada za Afya
Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR - TAMISEMI) imetangaza tena nafasi za ajira kwa kada za Afya 77 nakuwataka wa [...]
Bei ya mafuta shuka kwa zaidi ya Sh100
Bei ya rejareja ya mafuta ya petroli Tanzania kwa Julai 2023 imeshuka kwa zaidi ya Sh100 kwa lita ndani ya mwezi mmoja huku bei ya mafuta ya taa katik [...]
Mbunge wa Mbarali afaraki dunia
MBUNGE Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya, Francis Mtega amefariki dunia.
Taarifa iliyotolewa na Bunge leo Julai Mosi, 2023 inasema kuwa Mtega amepata a [...]
Rais Samia apongezwa na USAID kwa mageuzi ya kiuchumi na kidemokrasia
Msimamizi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID), Bi. Samantha Power, amekiri azma ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kukuza mageuzi [...]
China na Tanzania kushirikiana uzalishaji wa nishati jadidifu
Ziara ya Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba nchini China imezaa matunda baada ya China kuahidi kushirikiana na Tanzania katika uzalishaji wa nish [...]
TPDC, CNOOC ya China kushirikiana katika sekta ya gesi
Waziri wa Nishati, January Makamba amesema Kampuni ya China National Offshore Oil Corporation (CNOOC) na Shirika la Maendeleo la Petroli la Tanzania(T [...]