Tag: trending videos
Fahamu vitabu vilivyopigwa marufuku kutumika shuleni
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amepiga marufuku matumizi ya vitabu 16 vya ziada kutumika katika shule za umma na binafsi [...]
Rais Samia ahimiza utekelezaji wa miradi ya umeme
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezitaka taasisi za Serikali au binafsi pamoja na mashirika kuacha urasimu katika utekelezaji wa miradi ya umeme [...]
Sheria utoaji wa viungo vya ndani ya mwili mbioni kutungwa
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema serikali iko mbioni kuja na sheria itakayoruhusu wananchi kuchangia viungo vya ndani ya mwili ikiwemo figo.
Wa [...]
Namna ya kusherekea Valentine’s Day kama upo ‘singo’
Ikiwa inakaribia siku ya wapendanao tarehe 14 mwezi Februari, tayari mitandaoni watu wameanza kuonyesha shauku ya kusubiria siku hiyo huku wengi wao w [...]
Bil 2.6 zalipwa na NSSF kwa vyeti feki
Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jmaii (NSSF) imetumia Sh bilioni 2.6 kuwalipa watumishi 183 waliofutiwa ajira kwa kukutwa na vyeti feki.
Taarifa hiyo [...]
Rais Samia awalilia waliofariki Syria na Uturuki
Rais Samia Suluhu Hassan ameungana na viongozi mbalimbali duniani kuomboleza vifo vya zaidi ya watu 3,500 waliofariki dunia baada ya kutokea kwa tetem [...]
Lita 910 zingine za dizeli SGR zakamatwa
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Janeth Magomi amesema wamefanikiwa kukamata lita 910 za mafuta aina ya dizeli yanayotumika katika mradi wa Reli [...]
Serikali kugharamia msiba wa watu 17 Tanga
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa maelekezo kuwa Serikali isimamie msiba wa Watu 17 waliofariki kwa ajali Tanga [...]
Rais Samia aomboleza ajali iliyoua watu 17 mkoani Tanga
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameeleza kusikitishwa na ajali iliyoua watu 17 mkoani Tanga.
Nimesikit [...]
Vijana 147 waliojiunga JKT wabainika kuwa na VVU
Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI imesema katika kipindi cha miaka mitatu kilichoanzia 2018, vijana wanaojiunga na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taif [...]