Tag: trending videos

1 54 55 56 57 58 123 560 / 1230 POSTS
Shaka: Tanzania tunaye muongoza njia

Shaka: Tanzania tunaye muongoza njia

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amewataka viongozi wa Chama na serikali kuwashirikisha v [...]
Marekani wamuua naibu wa Osama Bin Laden

Marekani wamuua naibu wa Osama Bin Laden

Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kwamba kiongozi wa kundi la al-Qaida, Ayman al-Zawahiri, ameuawa kwa shambulizi la ndege isiyo na rubani ya Mare [...]
Maagizo ya Rais Samia kwa Chamila

Maagizo ya Rais Samia kwa Chamila

Baada ya kutohudumu katika nafasi ya uongozi  kwa zaidi ya mwaka mmoja, hatimaye Albert Chalamila ameapishwa jana kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera huku aki [...]
Rais Samia ataja vigezo vya kuteua viongozi

Rais Samia ataja vigezo vya kuteua viongozi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Agosti 1,2022 amewaapisha viongozi wateule Ikulu, Dar es Salaama na kutaja vigez [...]
Simba wasaini bilioni 26.1 na M- Bet

Simba wasaini bilioni 26.1 na M- Bet

Klabu ya Simba ya Dar es Salaam na Kampuni ya michezo ya kubashiri ya M-Bet, leo wametangaza mkataba wao wa udhamini wa miaka mitano wenye thamani ya [...]
Bakuli latembezwa na Chadema kuwakabili kina Mdee

Bakuli latembezwa na Chadema kuwakabili kina Mdee

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeanza kuchangisha fedha kutoka kwa wanachama wake, kugharamia mawakili watakaosimamia kesi ya waliokuwa [...]
‘Girlfriends day’ ni kwa Marekani tu

‘Girlfriends day’ ni kwa Marekani tu

Leo Agosti 1, ni siku ya marafiki wa kike ‘girlfriends day’ na tofauti na ilivyo kwa siku ya wapendanao, siku hii ni mahususi kwa wanawake kwa ajili y [...]
Aahidi kufunga taa na kamera Uwanja wa Ndege hadi Posta

Aahidi kufunga taa na kamera Uwanja wa Ndege hadi Posta

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla amesema Serikali ya Mkoa wake inakusudia kufunga taa na kamera za barabarani kuanzia Uwanja wa Ndege wa Mwa [...]
Jinsi ya kujikinga na homa ya Mgunda

Jinsi ya kujikinga na homa ya Mgunda

Licha ya ugonjwa huo kutokuwa tishio bado Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameitaka jamii kuchukua tahadhari za kujikinga ikiwemo kuepuka kunywa na kugusa [...]
Tanzania yajitoa mashindano ya kikapu kisa ukata

Tanzania yajitoa mashindano ya kikapu kisa ukata

Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF) limeeleza kuitoa timu ya wavulana kushiriki mashindano ya Afrika ya kutafuta tiketi ya kufuzu kucheza kom [...]
1 54 55 56 57 58 123 560 / 1230 POSTS
error: Content is protected !!