Tag: trending videos

1 58 59 60 61 62 123 600 / 1230 POSTS
Nafazi za kazi Jeshi la Polisi

Nafazi za kazi Jeshi la Polisi

Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Regional Centre on Small Arms (RECSA)  linatangaza nafasi za kazi kama zifuatazo.     &nbsp [...]
Iringa, Mbeya na Njombe baridi yafika 4°C

Iringa, Mbeya na Njombe baridi yafika 4°C

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imesema kwamba hali ya baridi itaendelea kuwepo ambapo katika mikoa ya Njombe, Iringa na Mbeya baridi inatarajiw [...]
Kagongwa kupata umeme

Kagongwa kupata umeme

Waziri wa Nishati, January Makamba amemuagiza Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Grace Ntungi kuhakikisha ndani ya wiki mbili kuanzia jana J [...]
Kuandika wosia sio uchuro

Kuandika wosia sio uchuro

Wizara ya Katiba na Sheria imeiagiza Wakala wa Usajili, Ufilisia na Udhamini (RITA) kukusanya maoni kwa wananchi ya nini kinachosababisha wananchi kuw [...]
Fahamu kuhusu Homa ya Mgunda

Fahamu kuhusu Homa ya Mgunda

Baada ya Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kutoa taarifa kuhusu ugonjwa wa Homa ya Mgunda (Leptospirosis), wizara hiyo imetoa tahadhari kwa wananchi na nji [...]
Fahamu jinsi Homa ya Mgunda inavyoambukizwa

Fahamu jinsi Homa ya Mgunda inavyoambukizwa

Ugonjwa wa Homa ya Mgunda (Leptospirosis) huambukizwa kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu kupitia uchafuzi wa mazingira ikiwemo vyanzo vya maji kut [...]
Aua kwa panga kisa wivu wa mapenzi

Aua kwa panga kisa wivu wa mapenzi

Mkazi wa Kijiji cha Mgombani, SWilaya ya Monduli mkoani Arusha, Juma Ndaji (27), anashikiliwa na polisi wilayani humo kwa kosa la kumkata panga mfanya [...]
Ugonjwa usiojulikana Lindi unasababishwa na bweha

Ugonjwa usiojulikana Lindi unasababishwa na bweha

Wizara ya Afya kupitia kwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu imetanga uwepo wa mlipuko mpya wa ugonjwa wa Homa ya Mgunda unaosababisha wananchi kutoka damu [...]
Majaliwa akagua daraja la mawe

Majaliwa akagua daraja la mawe

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa jana Julai 17, 2022 amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa Daraja la mawe katika barabara ya Iguguno-Kikhonda-Kinampundu [...]
Mbaroni kwa kuuza jezi za feki za Simba na Yanga

Mbaroni kwa kuuza jezi za feki za Simba na Yanga

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikiria Said Furaha (31) kwa tuhuma za kukutwa na jezi feki za timu za Simba na Yanga dazani 296. Kamanda wa Poli [...]
1 58 59 60 61 62 123 600 / 1230 POSTS
error: Content is protected !!