Tag: trending videos

1 64 65 66 67 68 123 660 / 1230 POSTS
Zawadi za Rais Samia kwa Watanzania kutoka Oman

Zawadi za Rais Samia kwa Watanzania kutoka Oman

Haijapata kutokea, ndivyo unavyoweza kusema kuhusu mafanikio ya Serikali ya Awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan katika suala zima la kukuz [...]
Ahukumiwa mwaka mmoja jela kwa wizi wa ndimu

Ahukumiwa mwaka mmoja jela kwa wizi wa ndimu

Mahakama ya Wilaya Mwera imemhukumu Ramadhan Gere Shija (20) mkazi wa Bungi kutumikia Chuo cha Mafunzo kwa muda wa mwaka mmoja na kulipa faini ya Sh5, [...]
Wanaotuma ujumbe wa jiunge na freemason wakamatwa

Wanaotuma ujumbe wa jiunge na freemason wakamatwa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu 23 kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya utapeli kwa njia ya mtandao. Kukamatw [...]
Mapato ya uwindaji wa kitalii yaporomoka

Mapato ya uwindaji wa kitalii yaporomoka

Mapato yatokanayo na uwindaji wa kitalii unaofanyika katika mapori tengefu na mapori ya akiba Tanzania yameporomoka kwa Sh1.3 bilioni ndani ya mwaka m [...]
Tanzania mwenyeji tuzo za MTV Africa 2023

Tanzania mwenyeji tuzo za MTV Africa 2023

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa amekutana na kufanya mazungumzo na makamu wa Rais na meneja mkuu wa Paramount Africa and [...]
Mahakama yaweka zuio akina Mdee kuguswa

Mahakama yaweka zuio akina Mdee kuguswa

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Jumatatu Juni 27,2022 imetoa zuio la muda kuhusu kutofanyika chochote kwenye ubunge wa Halima Mdee na wenzake [...]
Serikali kunongesha sekta ya maziwa

Serikali kunongesha sekta ya maziwa

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulgea amesema seriklai imejipanga kuhakikisha kunakuwa na mazingira mazuri ya uwekezaji katika sekta ya mazi [...]
Meli ya sulphur za bure kwa wananchi yakifa Mtwara

Meli ya sulphur za bure kwa wananchi yakifa Mtwara

Meli ya BOSS7 iliyobeba viwatilifu aina ya Salfa ya unga tani zaidi ya elfu 5 imewasili katika Bandari ya Mtwara ikitokea Uturuki, ikiwa ni muendelezo [...]
Bajeti ya serikali 2022/23 imepita kwa 94%

Bajeti ya serikali 2022/23 imepita kwa 94%

Bajeti ya Serikali ya 2022/23 imepita kwa asilimia 94 baada ya kupigiwa kura za ndio 350. Idadi ya wabunge ilikua 380 na 379 walipiga kura.  NDIO- [...]
Mwigulu aeleza umuhimu wa madeni nchini

Mwigulu aeleza umuhimu wa madeni nchini

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mwigulu Nchemba amefafanua umuhimu wa mikopo katika nchi na kusema kila taifa lenye maendeleo lazima liwe na deni na [...]
1 64 65 66 67 68 123 660 / 1230 POSTS
error: Content is protected !!