Author: Cynthia Chacha

1 108 109 110 111 112 256 1100 / 2559 POSTS
Waliokutwa na hatia ya kumiliki na kutumia bangi wasamehewa

Waliokutwa na hatia ya kumiliki na kutumia bangi wasamehewa

Rais wa Marekani, Joe Biden amewasamehe watu wote waliokutwa na hatia ya kumiliki bangi. Biden alitoa wito kwa majimbo ya Marekani kutekeleza hatua [...]
340,000 kiwango cha kujiunga Bima ya Afya

340,000 kiwango cha kujiunga Bima ya Afya

Kiwango cha kujiunga na Bima ya Afya kwa wote ni Shilingi 340,000 kwa kaya ya watu Sita akiwemo mchangiaji, mwenza wake na wategemezi wasiozidi wanne [...]

Kituo cha magonjwa ya mlipuko kujengwa Kagera

Serikali inatarajia kujenga kituo maalumu cha matibabu ya magonjwa ya milipuko Mkoani Kagera. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwal [...]
Magazeti ya leo Oktoba 7,2022

Magazeti ya leo Oktoba 7,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Oktoba 7,2022. [...]
Ziara ya Rais Samia Qatar inavyoleta matunda mema nchini

Ziara ya Rais Samia Qatar inavyoleta matunda mema nchini

Inafahamika kwamba huwezi kufanikiwa na kusonga mbele ukiwa peke yako, lazima ushirikiane na watu ili uweze kupata ujuzi zaidi na maarifa yatakayokusa [...]
Mapato ya uwindaji kitalii yapaa mara mbili zaidi

Mapato ya uwindaji kitalii yapaa mara mbili zaidi

Mapato yatokanayo na shughuli za uwindaji wa kitalii nchini Tanzania yameongezeka zaidi ya mara mbili ndani ya kipindi cha mwaka mmoja, huku yakitazam [...]
Mabilioni ya Benki ya Dunia kuifanya Jangwani kuwa ya kijani

Mabilioni ya Benki ya Dunia kuifanya Jangwani kuwa ya kijani

Benki ya Dunia imetoa mkopo wa Dola za Marekani milioni 200 (Sh bilioni 466.387) kugharamia mradi wa Bonde la Msimbazi ili kuepuka mafuriko na kuliwez [...]
Magazeti ya leo Oktoba 6,2022

Magazeti ya leo Oktoba 6,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Oktoba 6,2022. [...]
Majaliwa awaita wawekezaji kuja nchini

Majaliwa awaita wawekezaji kuja nchini

Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amewataka wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwenye sekta ya utalii, kwa sababu ya amani na utulivu na kwamba Watanzania ni [...]
Barua ya Museveni akiiomba Kenya msamaha

Barua ya Museveni akiiomba Kenya msamaha

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ameomba msamaha wananchi wa Kenya na Jumuiya ya Afrika Mashariki kutokana na mijadala iliyoanzishwa na mtoto wake Jene [...]
1 108 109 110 111 112 256 1100 / 2559 POSTS
error: Content is protected !!