Author: Cynthia Chacha

1 128 129 130 131 132 256 1300 / 2559 POSTS
Wenye ulemavu wamshukuru Rais Samia kwa utaratibu mzuri wa sensa

Wenye ulemavu wamshukuru Rais Samia kwa utaratibu mzuri wa sensa

Walemavu wa viungo mkoani Mtwara, wameishukuru serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuweka utaratibu mzuri ambao umewawezesha kushiriki kik [...]
Karani mwingine wa Sensa aporwa kishkwambi Arusha

Karani mwingine wa Sensa aporwa kishkwambi Arusha

Karani wa Sensa ya Watu na makazi Jiji la Arusha, Sarapia Kiwango, ameporwa kishikwambi chake, wakati akijiandaa kwenda kuhesabu makundi maalum, usiku [...]
Karani aporwa kishkwambi Katavi

Karani aporwa kishkwambi Katavi

Karani wa Sensa Kata ya Majimoto, Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, mkoani Katavi, Kenan Kasekwa, amevamiwa usiku wa kuamkia leo na kuporwa kishikwamb [...]
Askari aliyempiga virungu kijana achukuliwa hatua

Askari aliyempiga virungu kijana achukuliwa hatua

Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusu video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyessha kijana mmoja aliyefungwa pingu na kupigwa virungu [...]
Mtoto wa Simbachawene kupanda kizimbani kesho

Mtoto wa Simbachawene kupanda kizimbani kesho

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linatarajia kumfikisha mahakamani kesho mtoto wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bun [...]
Mwigulu kusomesha watoto wa diwani aliyekufa ajalini

Mwigulu kusomesha watoto wa diwani aliyekufa ajalini

Mbunge wa Singida Magharibi, Dk Mwigulu Nchemba ameahidi kulipa ada za masomo ya watoto wa aliyekuwa Diwani wa Viti Maalumu Tarafa ya Kinampanda wilay [...]
Wahadzabe wapewa Nyumbu 20, wakubali kuhesabiwa

Wahadzabe wapewa Nyumbu 20, wakubali kuhesabiwa

Jamii ya Wahadzabe iliyopo katika eneo la Yaeda Chini jana wamekabidhiwa kitoweo cha nyama pori aina ya Nyumbu na Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Makongoro N [...]
Magazeti ya leo Agosti 23,2022

Magazeti ya leo Agosti 23,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Agosti 23,2022. [...]
Huduma za MOI kupatikana Mtwara

Huduma za MOI kupatikana Mtwara

Huduma za kibingwa za Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), zitaanza kutolewa katika hospitali mpya ya kisasa ya Rufaa Kanda Mtwara, ikiwa ni ute [...]
Mrema kuzikwa Alhamisi Agosti 25,2022 Moshi

Mrema kuzikwa Alhamisi Agosti 25,2022 Moshi

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha TLP,Agustino Mrema anatarajiwa kuzikwa Alhamisi Agosti 25 katika kijiji cha Kilalacha mkoani Kilimanjaro. Maziko [...]
1 128 129 130 131 132 256 1300 / 2559 POSTS
error: Content is protected !!