Author: Cynthia Chacha
Ummy: Serikali itakarabati Uwanja wa Mkwakwani
Mbunge wa Tanga Ummy Mwalimu amesema atashirikiana na Chama cha Mapinduzi (CCM) kukarabati uwanja wa Mkwakwani uliofungiwa na Shirikisho la Mpira wa M [...]
Taulo za kike sasa bure
Bidhaa za hedhi, zikiwemo tamponi na taulo za kike, zitapatikana bila malipo katika vituo vya umma nchini Scotland kuanzia Jumatatu.
Mswada wa Bidh [...]
Ofisa wa Tume aliyepotea Kenya akutwa amefariki Kilombero
Saa chache baada ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ya Kenya kumtangaze Dk William Ruto kuwa Rais mteule wa Kenya, mwili wa ofisa wa tume hiyo [...]
Magazeti ya leo Agosti 16,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Agosti 16,2022.
[...]
Alichosema Ruto baada ya ushindi
Baada ya Tume Huru ya Uchaguzi kumtangaza Dk William Ruto kuwa mshindi (Rais Mteule) wa uchaguzi uliofanyika Agosti 9 mwaka huu, ametaja siri ya ushi [...]
Ruto alivyoibuka kidedea
Hatimaye Tume ya Uchaguzi Kenya imetangaza matokeo ya uchaguzi kama ifuatavyo:
William Ruto - 7,176,141 Votes 50.49%
Raila Odinga - 6 [...]
Rais Samia awaonya wanaofanya urasimu kwenye utoaji wa Visa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameagiza maafisa wanaoshugulikia hati za kumruhusu mtu kuingia nchini (VISA) kuacha u [...]
Urusi wavutiwa na Rais Samia
Serikali ya Urusi imesema sera ya uwazi ya Rais Samia Suluhu Hassan inawatia moyo na kuahidi kuhamasisha uwekezaji,biashara na watalii wengi wa Urusi [...]
Magazeti ya leo Agosti 15,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Agosti 15,2022.
[...]
Msichana mmoja huambukizwa VVU, kila baada ya dakika moja
Wakati dunia ikiendelea na mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi, nguvu kubwa ielekezwe kuwalinda wasichana ambao wamekuwa wahanga wa ugonjwa huo.
Kw [...]