Author: Cynthia Chacha
Mahakama yakubali ombi la kina Mdee
Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee na wenzake 18 wamekibwaga Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya Mahakama Kuu Masijala Kuu kukubali [...]
Tanzania yapongezwa mikakati muziri ya uchanjaji
Mratibu wa Kimataifa wa Mapambano dhidi ya UVIKO-19 kutoka umoja wa Mataifa Dkt Ted Chaiban ameipongeza Tanzania kwa kuendeleza mapambano dhidi ya UVI [...]
Mafuta ya kula yashuka bei
Waswahili wanasema baada ya dhiki faraja, hivyo ndivyo tunavyoweza kusema baada ya bei ya mafuta kuanza kushuka kwenye baadhi ya maeneo nchini.
Bei [...]
Uamuzi wa ombi lao leo
Mahakama Kuu Masijala Kuu leo inatarajiwa kutoa uamuzi wa ombi la Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee na wenzake 18 endapo wapewe kibali cha kufungua [...]
Atoa maagizo 7 ya kukuza na kueneza Kiswahili
Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe, Philip Mpango ametoa maelekezo nane ya kukuza na kukibidhaisha kiswahili duniani.
Maelekezo [...]
Magazeti ya leo Julai 8,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Julai 8,2022.
[...]
Kiswahili kufundishwa Afrika Kusini
Serikali ya Tanzania na Afrika Kusini zimesaini mkataba wa Mashirikiano ya kufundisha lugha ya Kswahili katika ngazi Elimu ya Msingi nchini Afrika Kus [...]
Mume wa Nicki Minaj ahukumiwa
Mume wa Nicki Minaj amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja nyumbani kwa kushindwa kujiandikisha kama mhalifu wa ngono.
Kenneth Petty alitakiwa kufahamis [...]
Kiswahili lugha ya biashara Afrika
Wakati nchi wanachama wa jumuiya hiyo wakikutana leo Zanzibar katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Kiswahili duniani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Af [...]
Serikali yataja mikakati ya kukuza na kueneza lugha ya Kiswahili
Katika siku ya kuadhimisha lugha ya kiswahili duniani tarehe 7 Julai, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameweka wazi m [...]