Author: Cynthia Chacha

1 162 163 164 165 166 246 1640 / 2460 POSTS
Sabaya ashinda kesi

Sabaya ashinda kesi

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake sita katika kesi ya uhujumu uchumi namba [...]
Rais Samia: Serikali itaendelea kutoa ruzuku kushusha bei ya mafuta

Rais Samia: Serikali itaendelea kutoa ruzuku kushusha bei ya mafuta

Hakuna mama anayependa kuona mtoto wake anateseka wala kupitia changamoto, lazima atafanya juhudi ili aweze kumsaidia kwa namna moja au nyingine. Hili [...]
Makamba: Si kweli, bei ya umeme haijapanda

Makamba: Si kweli, bei ya umeme haijapanda

Waziri wa Nishati, January Makamba amesema taarifa zinazoenea kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kupanda kwa bei ya umeme si za kweli na Serikali inasi [...]
Watu 18 wafa ajali ya basi mafinga

Watu 18 wafa ajali ya basi mafinga

Watu 18 wamefariki dunia papo hapo baada ya basi dogo aina Costa kugongana uso kwa uso na lori la mizigo karibu na eneo la Changarawe, Mafinga mkoani [...]
Samia: wapeni raha wafanyabiashara

Samia: wapeni raha wafanyabiashara

Rais Samia Suluhu amepiga marufuku wafanyabiashara kupewa ankara za kodi za miaka mitano hadi sita nyuma kwa kuwa hilo sio kosa lao bali ni la mamlaka [...]
Samia atoa milioni 500 kwa ajili ya  maji

Samia atoa milioni 500 kwa ajili ya maji

Rais Samia Suluhu anazidi kuzinufaisha mamlaka za maji baada ya kuagiza zipatiwe Sh milioni 500 kama mkopo kwa ajili ya kusaidia uunganishaji maji kwa [...]
Amuua mume wake kwa kumkaba usingizini

Amuua mume wake kwa kumkaba usingizini

Mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Maria Matheo, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Tabora kwa tuhuma za kumuua mume wake, Gabriel Nguwa (80 [...]
Magazeti ya leo Juni 10,2022

Magazeti ya leo Juni 10,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Juni 10,2022. [...]
Kesi ya Makonda yaondolewa

Kesi ya Makonda yaondolewa

Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kinondoni imetupilia mbali na kuiondoa kesi iliyomkabili Paul Makonda juu ya matumizi mabaya ya Ofisi na kuingilia matanga [...]
Aponzwa na biashara ya vidole

Aponzwa na biashara ya vidole

Mahakama nchini Zimbabwe imemfungulia mashtaka mtu mmoja kwa kufanya mzaha kuwa alikuwa sehemu ya kundi la watu wanaonunua vidole vya miguu vya binada [...]
1 162 163 164 165 166 246 1640 / 2460 POSTS
error: Content is protected !!