Author: Cynthia Chacha

1 164 165 166 167 168 255 1660 / 2549 POSTS
Dhamira ya Rais Samia juu ya makao makuu ya nchi Dodoma

Dhamira ya Rais Samia juu ya makao makuu ya nchi Dodoma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene amesema Rais Samia Suluhu Hassan hana makusudi ya kurejesha Makao Mak [...]
CCM yaishauri serikali kufufua mchakato wa katiba mpya

CCM yaishauri serikali kufufua mchakato wa katiba mpya

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema ni muhimu kufufua mchakato wa katiba mpya iili kuendana na mazingira ya sasa. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM [...]
Magazeti ya leo Juni 23,2022

Magazeti ya leo Juni 23,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Juni 23,2022. [...]
Serikali yatoa ruksa kwa wahamiaji wa Msomera kuhamia vijiji vingine

Serikali yatoa ruksa kwa wahamiaji wa Msomera kuhamia vijiji vingine

Serikali imeridhia maombi ya baadhi ya wananchi wanaohama kwa hiari yao kutoka hifadhi ya Ngorongoro kwenda katika maeneo mengine tofauti na Kijiji ch [...]
Watu wanne wamefariki ajali ya treni Tabora

Watu wanne wamefariki ajali ya treni Tabora

Shirika la Reli Tanzania (TRC) linataarifu umma kuwa Treni ya abiria namba Y14 injini namba 9019, iliyokuwa ikisafiri kutoka Kigoma kuelekea Dar es Sa [...]
Wahamiaji loliondo kukiona cha mtema kuni

Wahamiaji loliondo kukiona cha mtema kuni

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Uhamiaji nchini Dkt. Anna Makakala, ametangaza kuanza kwa oparesheni maalum ya siku kumi kwa ajili ya [...]
Tanzania yateuliwa kuwa Mjumbe Baraza la Amani na Usalama AU

Tanzania yateuliwa kuwa Mjumbe Baraza la Amani na Usalama AU

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeteuliwa kuwa mjumbe wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika kupitia kanda ya Mashariki kwa kipindi cha mia [...]
Malima atoa masaa 24 kwa watendaji Msomera

Malima atoa masaa 24 kwa watendaji Msomera

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima ametoa saa 24 kwa watendaji na maofisa wanaosimamia miundombinu ya huduma za kijamii na sekta ya mifugo kwa wananch [...]
Naomi Osaka kuzindua kampuni ya Hana Kuma

Naomi Osaka kuzindua kampuni ya Hana Kuma

Mchezaji wa tenisi kutoka nchini Japan, Naomi Osaka anatarajia kuzindua chombo chake cha habari alichokipa jina la ‘Hana Kuma’ akishirikiana na bingwa [...]
Mwendokasi Mbagala kwa 650

Mwendokasi Mbagala kwa 650

Wakala wa mabasi yaendayo haraka DSM (DART) imetangaza ruti mpya ya mabasi hayo itakayoanzia Uwanja wa Maonesho wa Mwl J.K Nyerere (Sabasaba) hadi Mba [...]
1 164 165 166 167 168 255 1660 / 2549 POSTS
error: Content is protected !!