Author: Cynthia Chacha
Rais Samia atimiza ahadi reli ya SGR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini Mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa kwa kipande cha nne kut [...]
Sopu atua Azam FC
Kiungo mshambuliaji wa Coastal Union, Abdul Hamis Seleman "Sopu" amejiunga na matajiri wa Jiji Azam FC kwa mkataba wa miaka mitatu.
Sopu aliefanya [...]
LaLiga waipongeza Yanga SC
Yanga yafikia Next level msimu huu hadi kufikia hatua ya kuchapishwa kwenye ukurusa wa Laliga na kupewa pomgezi kwa ushindi wa Kombe la AFSC.
& [...]
Rais Samia atengua uteuzi bandarini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 04 Julai,2022 ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi [...]
Rais Samia: Siridhishwi na bandari
Rais Samia Suluhu Hassan amesema haridhishwi na kasi za bandari nchini kutokana na siasa na longolongo zilizopo huku akiwataka watendaji wa bandari ku [...]
Rais wa Bara la Afrika
Katibu Mtendaji wa Eneo HUru la Biashara Afrika (AfFCTA), Wakele Mene amesema Watanzania wanapaswa kutambua kuwa Rais Samia Suluhu Hassan si kiongozi [...]
Sh8 bilioni zatengwa kusomesha madaktari
Serikali imetenga Sh8 bilioni kwa ajili ya kusomesha madaktari na wataalamu ndani na nje ya nchi.
Imesema kati ya fedha hizo, Sh3 bilioni zitatumik [...]
Morrison arejea Yanga SC
Klabu ya Young Africans SC imetangaza rasmi kumrejesha winga wake Mghana, Bernard Morrison mwenye umri wa miaka 29 kutoka kwa watani zao Simba SC.
[...]
Magazeti ya leo Julai 4,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Julai 4,2022.
[...]
Chanzo cha ajali ya basi Sikonge
Majeruhi 13 kati ya 48 wa ajali ya basi la Sasebosa iliyotokea wilayani Sikonge wameruhusiwa kutoka hospitalini baada ya kupatiwa matibabu na afya zao [...]

