Author: Cynthia Chacha
Sababu ya Mbunge kuruka sarakasi bungeni
Mbunge wa Mbulu Vijijini (CCM) Flatei Massay ameruka sarakasi bungeni ikiwa ni kuonyesha msisitizo wa hoja yake kuwa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imek [...]
Zuchu apata ajali
Msanii wa muziki wa bongo fleva kutokea lebo ya WCB, Zuchu amepata ajali iliyomsababishia majeraha katika goti lake.
Kupitia ukurasa wake wa Instag [...]
Walioomba Sensa wapita idadi inayohitajika
Watu 674,484 wameomba nafasi za ajira za muda za Sensa ya Watu na Makazi ikiwa imezidi idadi kamili inayohitaji kwa ajili ya shughuli hiyo ni 205,000. [...]
Jinsi ya kunywa pombe
Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imezindua tovuti inayoelimisha jamii kuhusu unywaji wa pombe wa kistaarabu ambayo ipo kwa lugha ya kiingereza na kis [...]
Gharama mpya kuvuka Darajala la Nyerere (Kigamboni)
Kufuatia agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, alilolitoa tarehe 6 Desemba 2021 kuhusu kufanya mapitio ya tozo z [...]
Magazeti ya leo Mei 23,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Mei 23,2022.
[...]
Lissu na Lema nchini
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu na Mjumbe wa kamati Kuu ya Chama hicho, Godbless Lema wametangaza kuwa w [...]
Sababu za watumishi kukosa nidhamu
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kukosekana kwa mafunzo ya kada mbalimbali za utumishi wa umma ni miongoni mwa sababu zinazochangia kutet [...]
Tanzania 10 bora uvutaji bangi Afrika
Ripoti ya hivi majuzi kuhusu matumizi ya tumbaku kutoka kwa kikundi cha kampeni ya afya ya umma na wasomi wa Marekani imegundua kwamba viwango vya uvu [...]
Chanzo cha moto IFM
Siku ya jana Ijumaa Mei 20,2022 Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kilichopo jijini Dar es Salaam kiliwaka moto ambao uliteketeza baadhi ya vifaa katik [...]