Author: Cynthia Chacha
Zanzibar ndani ya Ligi Kuu ya Uingereza
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi akutana na kufanya mazungumzo na timu ya Masoko ya Klabu ya Southampton ya Ligi Kuu ya Uingereza.
Wamefanya [...]
Mtoto wa miaka 2 akatwa shingo na kutupwa
MTOTO wa miaka miwili, Nkeya Thomas ameuawa kwa kukatwa shingo na watu wasiojulikana na mwili wake kutupwa kichakani katika Kijiji cha Nyamigogwa, Kat [...]
Morocco petroli Sh11,428 na dizeli Sh10,158
Bei ya mafuta ya petroli ilipanda na kufikia kiwango cha juu zaidi nchini Morocco siku ya Alhamisi, na hivyo kuzua hasira miongoni mwa vyama vya wafan [...]
Viongozi 10 Ngorongoro kutojulikana walipo
Wakati Serikali ikisema uwekaji mipaka katika pori la Loliondo unaendelea vizuri, Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai ameendelea kulalamika kut [...]
Milioni 100 ukimpata huyu mchina
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dar es salaam linamtafuta mtuhumiwa, Zheng Lingyao (42) Raia wa China, Mkazi wa Jijini Dar es Salaam Kwa tuhuma kumuua Nannan, [...]
Ushuru Daraja la Tanzanite
Serikali imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Draja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka za Kibaha-Mlandizi - C [...]
Dereva alifariki kabla basi kupinduka
Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, George Kyando amesema dereva wa basi la Kampuni ya Zuberi, Hamza Haule, alifariki kabla ya basi hilo halijaanguka [...]
Magazeti ya leo Juni 17,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Juni 17,2022.
[...]
Maeneo 10 ya kihistoria ya kutembelea Afrika
Bara la Afrika ni sehemu pekee iliyobarikiwa kuwa na vivutio vingi vizuri vya kihistoria. Yafuatayo ni baadhi ya vivutio hivyo na maeneo yanapopatikan [...]
Benki zinazoongoza kwa mikopo ya nyumba Tanzania
Iwapo una ndoto ya kumiliki nyumba lakini hauna fedha, huenda ukapata mikopo ya kujengea nyumba kutoka benki za biashara Tanzania licha ya kuwa katik [...]