Author: Cynthia Chacha

1 171 172 173 174 175 268 1730 / 2675 POSTS
M/Kiti Kamati ya Hakimiliki

M/Kiti Kamati ya Hakimiliki

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na MIchezo Mhe. Mohamed Mchengerwa amemteua Mbunge wa Muheza, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) kuwa mwenyekiti wa kamati ya haki m [...]
Fahamu madhara 5 ya kupiga nyeto 

Fahamu madhara 5 ya kupiga nyeto 

Kupiga punyeto ni jambo la kawaida. Ni njia ya asili na salama kujipatia  raha ukiwa faragha. Hata hivyo, kupiga punyeto kupita kiasi kunaweza kuat [...]
Mapacha watenganishwa salama

Mapacha watenganishwa salama

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imetoa taarifa kuhusu upasuaji wa mapacha walioungana ambao leo Julai 1,2022 wamefanyiwa upasuaji wakuwatenganisha na [...]
M/Kiti kamati ya harusi ya Billnas na Nandy

M/Kiti kamati ya harusi ya Billnas na Nandy

Msanii kutoka nchini Tanzania, Billnas anayetarajia kufungua ndoa na Faustina Mfinanga maarufu kama Nandy, ameweka wazi kwamba muigizaji Steve Nyerere [...]
Barua ya wazi ya Rais Samia Suluhu

Barua ya wazi ya Rais Samia Suluhu

Tanzania inatimiza miaka 30 tangu turejee rasmi katika siasa za mfumo wa vyama vingi katika kipindi hicho, Taifa letu limepitia kipindi cha furaha, ma [...]
Watalii 320 watua Zanzibar

Watalii 320 watua Zanzibar

Miaka miwili baada ya watalii kutoka nchini Italia kusitisha safari zao kwenda Zanzibar kutokana na janga la Uviko-19, safari hizo zimerejea baada ya [...]
Magazeti ya leo Julai 1,2022

Magazeti ya leo Julai 1,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Julai 1,2022. [...]
Mabeyo akabidhiwa Ngorongoro

Mabeyo akabidhiwa Ngorongoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemteua Mkuu wa Majeshi wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Mst Jen. Venance Salvatory Ma [...]
Tahadhari upepo mkali usiku wa leo

Tahadhari upepo mkali usiku wa leo

Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo kuanzia saa 3.00 usiku wa leo: Tarehe 30/06/2022   [...]
Serikali inavyowathamini wanaohamia Msomera

Serikali inavyowathamini wanaohamia Msomera

Katika kuhakikisha wakazi wanaohama kutoka Ngorongoro wanakuwa na maisha bora zaidi katika makazi mapya Msomera, Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jam [...]
1 171 172 173 174 175 268 1730 / 2675 POSTS
error: Content is protected !!