Author: Cynthia Chacha

1 179 180 181 182 183 238 1810 / 2380 POSTS
Zingatia haya kabla huja-delete marafiki

Zingatia haya kabla huja-delete marafiki

Katika maisha ya kila siku, pale mtu anapokuwa kwenye changamoto, baadhi ya watu huzitumia kupima uthabiti wa mahusiano waliyonayo na marafiki zao. [...]
TMDA: Tahadhari dawa za nguvu za kiume

TMDA: Tahadhari dawa za nguvu za kiume

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba(TMDA), imeonya kuwa watumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume pasi na maelekezo ya wataalamu wa afya wako hatarini ku [...]
Amuua baba yake baada ya kumkuta amelala na mkewe

Amuua baba yake baada ya kumkuta amelala na mkewe

Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga , linamshikilia Mwandu Shija (32) mkazi wa Ndala Manispaa ya Shinyanga kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Shija Ro [...]
Magazeti ya leo Aprili 28,2022

Magazeti ya leo Aprili 28,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Aprili 28,2022. [...]
Diamond kufuturisha bungeni

Diamond kufuturisha bungeni

Msanii na Mkurugenzi Mkuu wa Wasafi Media, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz, leo Jumatano Aprili 27,2022 anatarajiya kufuturisha waheshimiwa [...]
Zamaradi: Mwijaku anaupiga mwingi

Zamaradi: Mwijaku anaupiga mwingi

Mkurugenzi na Mmiliki wa Zamaradi TV, Zamaradi Mketema amempa pongezi mtangazaji wa redio ya Clouds, Mwijaku kwa kuwamwambia anafanya kazi nzuri sana [...]
Baba amnajisi mtoto wa miezi 11

Baba amnajisi mtoto wa miezi 11

Kamanda wa Polisi mkoani Tanga, Safia Jongo amethibitisha kutokea kwa tukio la mtoto wa miezi 11 kunajisiwa na baba yake wa kambo anayeishi eneo la Am [...]
Magazeti ya leo Aprili 27,2022

Magazeti ya leo Aprili 27,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Aprili 27,2022. [...]
Shmurda kutoshiriki ngono miezi 6

Shmurda kutoshiriki ngono miezi 6

Rapa maarufu duniani Bobby Shmurda amepata tatizo kwenye uume wake lililopelekea rapa huyu kupewa masharti makali na daktari wake. Bobby ameambiwa asi [...]
Putin atuma ujumbe kwa Rais Samia

Putin atuma ujumbe kwa Rais Samia

Rais wa Russia,Vladimir Putin amemtumia Rais Samia Suluhu, ujumbe wa kumtakia heri ya Sikuu ya Muungano. Putin amesema Tanzania na Russia zina mahusia [...]
1 179 180 181 182 183 238 1810 / 2380 POSTS
error: Content is protected !!