Author: Cynthia Chacha

1 185 186 187 188 189 252 1870 / 2517 POSTS
Mdee na wenzake ‘OUT’

Mdee na wenzake ‘OUT’

Baraza kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) limeunga mkono uamuzi wa Kamati Kuu wa kuwafukuza uanachama Halima Mdee na wenzake 18 kwa ko [...]
Magazeti ya leo Mei 12,2022

Magazeti ya leo Mei 12,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Mei 12,2022. [...]
Bobi Wine: Katiba sio mwarubaini

Bobi Wine: Katiba sio mwarubaini

Msanii na mwanasiasa wa Upinzani  nchini Uganda Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, ameutaka uongozi wa CHADEMA kuwekeza nguvu katika kukuza vij [...]
Wanakunywa shahawa ili kuwa wanaume kamili

Wanakunywa shahawa ili kuwa wanaume kamili

Kutana na kabila la Sambia linalopatitaka Papua New Guniea ambalo wavulana wadogo wenye miaka kuanzia 6 mpaka 10 hunyweshwa shahawa ili kuwa wanaume k [...]
Harmonize na sigara za Tembo

Harmonize na sigara za Tembo

Msanii na Mmiliki wa lebo ya Muziki ya Konde Gang, Harmonize ametangaza nia yake ya kutaka kuanza kufanya biashara ya kutengeneza na kuuza sigara zake [...]
Warithi wa kina Mdee

Warithi wa kina Mdee

Leo jijini Dar es Salaam, Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) linaketi kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali yahusuyo chama h [...]
Mishahara mipya

Mishahara mipya

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amepokea taarifa ya mapendekezo ya ongezeko la mishahara ya watumishi kutoka kwa timu ya wataalamu iliyokuwa ikiyaandaa kw [...]
Magazeti ya leo Mei 11,2022

Magazeti ya leo Mei 11,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Mei 11,2022. [...]
Zingatia haya kabla ya kunyoa

Zingatia haya kabla ya kunyoa

Kwa kuwa nywele za sehemu ya siri ni nyembamba na nene na ngozi karibu na eneo hilo ni nyeti, ni lazima kuwa waangalifu zaidi kwa njia unayochagua. [...]
Wimbo wa taifa kufanyiwa marekebisho

Wimbo wa taifa kufanyiwa marekebisho

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Yakubu Said, Mei 10, 2022 Dodoma amekutana na wataalamu wa Ala za Muziki  wakiongozwa na M [...]
1 185 186 187 188 189 252 1870 / 2517 POSTS
error: Content is protected !!