Author: Cynthia Chacha

1 185 186 187 188 189 224 1870 / 2234 POSTS
Kaburi la vijana wengi

Kaburi la vijana wengi

Vijana wengi wamekuwa wakishindwa kutoka kwenye kaburi la kupata mafanikio na kusonga mbele katika maisha na hii ni kutokana na kuwa ndani ya kifungo [...]
Mtoto alawiti wenzake 19

Mtoto alawiti wenzake 19

Mtoto mwenye umri wa miaka 14 (Jina linahifadhiwa) mkazi wa Manispaa ya Iringa, anashikiliwa na Polisi kwa madai ya kuwalawiti watoto wenzake 19 kwa n [...]
Tahadhari kirusi kipya

Tahadhari kirusi kipya

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema serikali inafuatilia uwapo wa aina mpya ya kirusi cha UVIKO-19 kilichothibitishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO [...]
Mwijaku atangaza nia

Mwijaku atangaza nia

Mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena Clouds Radio, Mwijaku ametangaza nia ya kuwa msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania wadhifa aliopewa Steve Nyerer [...]
Steve Nyerere kuvuliwa

Steve Nyerere kuvuliwa

Mbunge wa Muhenza ambaye pia ni msanii, Hamisi Mwinjuma maarufu kama Mwana FA amewapa masaa 48 viongozi wa Shirikisho la Muziki Tanzania kuleta jina l [...]
Faru Rajabu afariki

Faru Rajabu afariki

Shirika la Hifadhi ya Taifa Tanzania (TANAPA) limetoa taarifa kuhusu kifo cha Faru Rabaju aliyefariki usiku wa kuamkia leo Machi 21, 2022 akiwa na mia [...]
Pastor Myamba apata ajali

Pastor Myamba apata ajali

Emmanuel Myamba maarufu kama Pastor Myamba ametoa taarifa ya kupatwa na ajali mbaya yeye pamoja na familia yake wakati wakielekea kwenye ibada. Ame [...]
Kanye West afutwa Grammy 2022

Kanye West afutwa Grammy 2022

Rapa kutoka nchi Marekani Ye au Kanye West amefutwa kwenye orodha ya wasanii wanaotarajia kutumbuiza kwenye Tuzo za Grammy 2022 kutokana na matendo ya [...]
Diamond:Nina mtoto Mwanza

Diamond:Nina mtoto Mwanza

Msanii na mmiliki wa lebo ya Wasafi Naseeb Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platnumz, amekiri kuwa mtoto mwingine jijini Mwanza ukiachilia mbali wato [...]
Waliofariki ajali ya Morogoro kulipwa

Waliofariki ajali ya Morogoro kulipwa

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (Tira) imesema waathirika wote wa ajali iliyotokea mkoani Morogoro hivi karibuni na kusababisha vifo vya watu 23 [...]
1 185 186 187 188 189 224 1870 / 2234 POSTS
error: Content is protected !!