Author: Cynthia Chacha

1 196 197 198 199 200 223 1980 / 2227 POSTS
Diva atangaza tarehe ya harusi yake

Diva atangaza tarehe ya harusi yake

Mtangazaji wa Kipindi cha Lavi Davi, Diva ametangaza rasmi kuwa shere ya harusi yake na Sheikh Abdulrazak Salum ni mwezi wa tatu tarehe 3 mwaka huu na [...]
Spika atoa onyo kwa mawaziri

Spika atoa onyo kwa mawaziri

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson, ametoa onyo kwa mawazari pamoja na manaibu wao kuhakikisha wanahudhuria vikao vya [...]
Neema kwa watakao hama Ngorongoro kwa hiari

Neema kwa watakao hama Ngorongoro kwa hiari

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema serikali ipo tayari kulipa gharama zote kwa walio tayari kuhama kwa hiari eneo la Ngorongoro na kusisitiza wanaot [...]
Hizi hapa maana za uvaaji pete kwa kila kidole

Hizi hapa maana za uvaaji pete kwa kila kidole

Siku hizi huvaaji wa pete kwenye vidole vya mikononi umekuwa kama urembo na watu wengi hufanya hivyo bila kutambua kwamba kuna maana ya jinsi mtu huva [...]
Fahamu chanzo cha ndoa ya Ali Kiba kufika mahakamani

Fahamu chanzo cha ndoa ya Ali Kiba kufika mahakamani

Mwanamuziki kutoka nchini Tanzania na mmiliki wa lebo ya King’s Music, AliKiba amefunguliwa kesi na mke wake raia wa Kenya, Amina Khalef kwa tuhuma za [...]
TMA yatangaza ujio wa mvua kubwa

TMA yatangaza ujio wa mvua kubwa

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya ujio wa mvua kubwa za wastani mpaka juu ya wastani katika kipindi cha masika (Machi-Mei) kw [...]
Zanzibar kupima Uviko-19  kidigitali

Zanzibar kupima Uviko-19  kidigitali

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeanza kutumia teknolojia ya skana za EDE kupima Uviko-19 kwa wasafiri wanaowasili na kusafiri kupitia uwanja wa nd [...]
Jamii ya wamasai yashukuru kujengewa madarasa

Jamii ya wamasai yashukuru kujengewa madarasa

Wakazi wa kitongoji cha Umasaini kilichopo nje kabisa ya mji wa Pangani, wameishukuru Serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia madaras [...]
Kampuni  ya Elon Musk inakabiliwa na madai ya unyanyasaji wa wanyama

Kampuni  ya Elon Musk inakabiliwa na madai ya unyanyasaji wa wanyama

Kampuni ya San Francisco Neuralink, inayoendeshwa  na Elon Musk, imekuwa ikifanya kazi kwenye chip ambayo inaweza kupandwa kwenye ubongo wa mwanadamu [...]
Tanzania kuanza kutengeneza chanjo zake za Covid-19

Tanzania kuanza kutengeneza chanjo zake za Covid-19

Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali yake inataka kuanzisha kiwanda cha kutengeneza chanjo ndani ya nchi kama sehemu ya mipango mipana ya kukabil [...]
1 196 197 198 199 200 223 1980 / 2227 POSTS
error: Content is protected !!