Author: Cynthia Chacha
TID: ndomaana staki
Msanii wa Bongo Fleva nchini, Khalid Mohamed maarufu kama TID ameonyesha kuchukizwa na kitendo cha waandaji wa Tuzo za Muziki Tanzania kumualika kweny [...]
Wizkid hali mbaya
Msanii kutoka nchini Nigeria, Wizkid amekosa tuzo katika vipengele viwili vya Best Global Music Performance na Best Global Music Album jambo lililoibu [...]
Kodi zaipaisha TRA
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mwezi uliopita imekusanya Sh trilioni 2.06 katika lengo la kukusanya Sh trilioni 1.98 taarifa iliyotolewa na [...]
Masoud Kipanya aja na gari la kuchaji
Mtangazaji na mchora katuni maarufu nchini Tanzania, Masoud Kipanya kupitia kampuni yake ya Kaypee Motors amezindua gari ndogo ya mizigo inayotumia um [...]
Wanaume: fahamu M3 hizi
Kwa mwanaume yoyote yule ambaye yupo kwenye mahusiano au ana mpango wakuanzisha mahusiano basi ni lazima akawa anazifahamu vyema M3 ambazo zitamsaidia [...]
Athari 3 za matango
Matango ni moja wapo ya matunda yanayopendwa sana na hutumika kama kinga ya mwili na kwenye urembo wasichana hupaka usoni ili kuwa na ngozi nyororo na [...]
Wakutwa na madawa ya kulevya gramu 70.77
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limefanikiwa kumkamata maeneo ya Osunyai, Abdi Hamis (27) mfanyabiashara, mkazi wa Ngarenaro na Ally Said (25) dereva na [...]
Harmonize: Rayvanny mwanangu
Msanii na mmiliki wa lebo ya Konde Gang, Rajabu Abdul maarufu kama Harmonize anazidi kuionyesha jamii na ulimwengu mzima kwamba bado anampenda aliyewa [...]
Njombe wamshukuru Rais Samia
Halmashauri ya Njombe mji ni miongoni wa Halmashauri ilionufaika na fedha za mpango wa ustawi na mapambano dhidi ya UVIKO-19.
Miongoni mwa shule zi [...]
Rose Ndauka: Naacha muziki na kuigiza
Msanii na Muigizaji kutoka nchini Tanzania, Naureen Mkongwa maarufu kwa jina la kisanaa Rose Ndauka, ametangaza kuachana na kazi zozote zinazojihusish [...]

