Author: Cynthia Chacha

1 220 221 222 223 224 246 2220 / 2456 POSTS
Waziri Mkuu atoa msimamo kuhusu Ngorongoro

Waziri Mkuu atoa msimamo kuhusu Ngorongoro

Waziri MKuu, Kassim Majaliwa amesema serikali inaangalia utaratibu utakaofaa kuhusu suala la uhifadhi katika eneo la Loliondo lililopo kwenye Wilaya y [...]
Zari na Diamond ndani ya Filamu moja

Zari na Diamond ndani ya Filamu moja

Msanii kutoka nchini Tanzania na mmiliki wa lebo ya Wasafi, Diamond Platnumz amejikuta akiwa kwenye filamu moja pamoja na aliyewahi kuwa mpenzi wake, [...]
Fahamu sababu za wabunge 19 wa CHADEMA kubaki bungeni

Fahamu sababu za wabunge 19 wa CHADEMA kubaki bungeni

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Tulia Ackson, ameweka wazi kwamba wanachama 19 waliopo bungeni kutoka Chama Cha Demokrasia na [...]
Afukuliwa siku moja baada ya kuzikwa

Afukuliwa siku moja baada ya kuzikwa

Mwili wa marehemu, Mark Mkude mwenye umri wa miaka 67 umefufuliwa baada ya kuzikwa na na ndugu wa marehemu mwingine, Gervas Chondoma mwenye umri wa mi [...]
Tanzania na Ufaransa zatia saini mikataba sita

Tanzania na Ufaransa zatia saini mikataba sita

Serikali za Tanzania na Ufaransa leo zimetia saini jumla ya mikataba sita ya makubaliano kwa nia ya kuendeleza uhusiano baina ya nchi hizo mbili. W [...]
Atengwa baada ya kuimba na Harmonize

Atengwa baada ya kuimba na Harmonize

Muimbaji wa nyimbo za injili Jane Misso ambaye hivi karibuni ametoa wimbo akiwa na msanii wa bongo fleva, Rajabu Abduli Kahali maarufu kama Harmonize [...]
Majaliwa: Hakuna mpango kuigawa Tanesco

Majaliwa: Hakuna mpango kuigawa Tanesco

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali haina mpango wa kulivunja Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kwa sasa kwani suala hilo linagusa usalama [...]
Waziri Nape aeleza maagizo ya Rais Samia kwa Wanahabari

Waziri Nape aeleza maagizo ya Rais Samia kwa Wanahabari

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaeleza wahariri wa vyombo vya habari muelekeo wa serikali ya awamu ya sita inay [...]
DC Jokate ashtukia madudu Temeke

DC Jokate ashtukia madudu Temeke

Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Temeke, Herieth Makombe amesimamishwa kazi kwa muda na Mkuu wa Wilaya hiyo, Jokate Mwegelo ili kupisha uchu [...]
Tanzania itakavyonufaika na ziara ya Rais Samia nchini Ufaransa

Tanzania itakavyonufaika na ziara ya Rais Samia nchini Ufaransa

Mkurugenzi wa Mawasiliano-Ikulu, Bi. Zuhura Yunus alitoa taarifa siku ya jana Februari 9,2022 ikisema Rais Samia akiwa nchini Ufaransa atashuhudia uti [...]
1 220 221 222 223 224 246 2220 / 2456 POSTS
error: Content is protected !!