Author: Cynthia Chacha

1 2 3 4 5 254 30 / 2539 POSTS
Uwekezaji wa sekta binafsi wazidi kuinufaisha Bandari ya Dar es Salaam

Uwekezaji wa sekta binafsi wazidi kuinufaisha Bandari ya Dar es Salaam

Katika kipindi cha Julai hadi Machi mwaka wa fedha 2024/2025, Bandari ya Dar es Salaam imeendelea kunufaika na uwekezaji wa waendeshaji binafsi, hatua [...]
Rais Samia: Tanzania na Comoro kushirikiana kukabiliana na changamoto za tabianchi

Rais Samia: Tanzania na Comoro kushirikiana kukabiliana na changamoto za tabianchi

Moroni, Comoro – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameeleza dhamira ya Tanzania kuimarisha ushirikiano na Comoro katika ku [...]
Askofu Shoo: Michango ya Rais Samia kwenye makanisa na misikiti sio rushwa

Askofu Shoo: Michango ya Rais Samia kwenye makanisa na misikiti sio rushwa

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo nchini Tanzania CCT, Askofu Dkt. Fredrick Shoo amesema Rais Samia Suluhu anapotoa michango kwenye makanisa na misiki [...]
Vituo vya gesi asilia 12 kuanza kazi mwishoni mwa mwaka

Vituo vya gesi asilia 12 kuanza kazi mwishoni mwa mwaka

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limetangaza kuwa vituo vya gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) zaidi ya 12 vitakuwa vinafanya kazi ifika [...]
TRA yakusanya asilimia 103.9 ya lengo la makusanyo kwa kipindi cha Julai 2024 – Juni 2025

TRA yakusanya asilimia 103.9 ya lengo la makusanyo kwa kipindi cha Julai 2024 – Juni 2025

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2024/2025 (Julai 2024 - Juni 2025 ) Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi Trilion [...]
Kiwanda kikubwa zaidi cha kuzalisha mbolea Afrika Mashariki chazinduliwa Tanzania

Kiwanda kikubwa zaidi cha kuzalisha mbolea Afrika Mashariki chazinduliwa Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki uzinduzi wa kiwanda cha ITRACOM Fertilizers Ltd. tarehe 28 Juni 2025 [...]
Rais Samia afafanua mwenendo wa deni la taifa kwa dakika saba

Rais Samia afafanua mwenendo wa deni la taifa kwa dakika saba

Rais Samia Suluhu Hassan, ametumia dakika saba kutoa ufafanuzi wa kina kuhusu mwenendo wa deni la taifa na hatua zinazochukuliwa na Serikali kulidhibi [...]
Treni ya kwanza ya mizigo ya SGR imeanza safari yake ya kwanza

Treni ya kwanza ya mizigo ya SGR imeanza safari yake ya kwanza

Treni ya kwanza ya mizigo ya SGR imeanza safari yake ya kwanza kati ya Dar Es Salaam na Dodoma. Treni hiyo yenye jumla ya mabehewa 10 imebeba mizig [...]
Zaidi ya zahanati 1,000 zajengwa miaka minne ya Samia

Zaidi ya zahanati 1,000 zajengwa miaka minne ya Samia

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2020/2021 hadi 2024/2025 jumla ya zahanati 1,158 zimejengwa na kusajiliwa na zinatoa huduma. Naibu Waziri, Ofisi [...]
Serikali yakaribisha wawekezaji mradi wa Dege Eco Village Kigamboni

Serikali yakaribisha wawekezaji mradi wa Dege Eco Village Kigamboni

Serikali imetangaza kuwakabidhi wawekezaji mradi wa Dege Eco Village uliopo Kigamboni jijini Dar es Salaam baada ya kujiridhisha kuwa ni hasara kuende [...]
1 2 3 4 5 254 30 / 2539 POSTS
error: Content is protected !!