Author: Cynthia Chacha
Polepole aondolewa hadhi ya ubalozi, uteuzi wake watenguliwa
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imethibitisha kuwa Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Hamphrey Polepole aliye [...]
Mpina ahamia ACT Wazalendo
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kisesa na Waziri wa zamani wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina amehamia rasmi chama cha ACT Wazalendo leo Agosti 5, 2025.
Mp [...]
Makampuni 16 ya Kitanzania yaidhinishwa kusafirisha parachichi China
Makampuni 16 ya Kitanzania yameidhinishwa rasmi na Mamlaka ya Forodha ya China — General Administration of Customs of China (GACC) — kusafirisha parac [...]
Serikali yapiga marufuku biashara 15 kwa wageni
Kwa mara nyingine tena, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, ameonesha dhamira yake ya dhati ya kusikiliza na kuta [...]
Tanzania na Rwanda zaimarisha ushirikiano kwa kusaini hati mbili za makubaliano
Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Rwanda umefungwa rasmi jijini Kig [...]
Taasisi 88 zapatiwa vibali kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025
Jumla ya Taasisi za ndani 76 na nje 12 zimepata kibali cha kuwa waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba [...]
CCM yaandika historia Afrika kwa kufanya Mkutano Mkuu kidijitali
Leo tarehe 26 Julai 2025, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeandika historia mpya barani Afrika kwa kufanikisha Mkutano Mkuu wa Taifa kwa njia ya mtandao, [...]
Daraja la Masagi mkombozi kwa wananchi wa Iramba
Kukamilika kwa daraja la Masagi linalojengwa katika barabara ya Kibirigi–Masagi kunatarajiwa kuunganisha vijiji vya Kibirigi, Masagi na Tyeme katika K [...]
Rais Samia aahidi shilingi bilioni 1 kwa Taifa Stars CHAN 2024
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi zawadi ya Shilingi Bilioni 1 endapo timu ya Taifa, Taifa Stars, itatwaa ubingwa wa michuano ya CH [...]
Kiwanda cha kuunganisha pikipiki na bajaji kujengwa Chamwino
Kiwanda kipya cha kwanza cha kuunganisha pikipiki na bajaji kitajengwa katika Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.
Kiwanda hicho kitajengwa mkoani hom [...]