Author: Cynthia Chacha
Serikali: Huduma za afya zimeimarika
Serikali imesema katika kipindi cha Julai 2024 hadi Machi 2025, jumla ya wananchi 39,386,226 ya walihudhuria na kupata huduma katika vituo vya kutolea [...]
CCM yapanga kuongeza mchango wa sekta ya utalii kwenye Pato la Taifa
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinataka mchango wa sekta ya utalii ufike asilimia 20 katika Pato la Taifa ifikapo mwaka 2030.
Katika Ilani ya Uchaguzi w [...]
Zaidi ya shule 20,000 za msingi na 5,000 za sekondari zina vyanzo vya maji vya uhakika
Serikali imesema kuwa shule 5,311 za Sekondari zina vyanzo vya maji vya uhakika, huku pia shule 20,509 za msingi zina vyanzo vya maji ya uhakika.
K [...]
Ndege ya kudhibiti visumbufu vya mazao aina ya Thrush 510P2+ yanunuliwa na Serikali
Serikali ya Tanzania imenunua ndege aina ya Thrush 510P2+ ambayo itatumika katika kudhibiti visumbufu vya mazao, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuonge [...]
Hospitali ya Maweni yafanya upasuaji wa nyonga kwa mara ya kwanza
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni – Kigoma kwa mara ya kwanza imefanya upasuaji kwa mgonjwa mwenye tatizo la nyonga ikiwa ni siku ya tano ya kambi ya [...]

Hii hapa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2025-2030
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa wameipitisha na kuizindua rasmi Ilani ya utekelezaji ya CCM ya mwaka 2025 – 2030 katika uku [...]

CCM Yazindua Ilani ya Uchaguzi 2025–2030
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekamilisha maandalizi ya Ilani yake mpya ya Uchaguzi kwa mwaka 2025, ambayo imewasilishwa rasmi leo Mei 30, 2025 katika M [...]
Lesotho yajifunza kutoka Tanzania kuhusu usimamizi wa nishati
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati ya Lesotho, Bwana Tonkiso Phapano, ameongoza ujumbe maalum nchini Tanzania kwa ziara ya kimafunzo kuhusu usimamizi wa [...]
2024/2025 walimu wapya wa sayansi 5,115 waajiriwa
Walimu 5,115 wa masomo ya sayansi wameajiriwa katika kipindi cha mwaka 2024/2025 na kuwa wamepangiwa katika maeneo yenye upungufu zaidi.
Naibu Wazi [...]
Rais Samia aridhia ajira mpya 300 TRA
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kuongeza nafasi za ajira 300 katika mamlaka hiyo.
Taarifa ya Mk [...]