Author: Cynthia Chacha

1 2 3 4 5 240 30 / 2396 POSTS
Makamu wa Rais wa Gambia awasili Tanzania

Makamu wa Rais wa Gambia awasili Tanzania

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Gambia, Mhe. Muhammad Jallow amewasili jijini Dar es Salaam ambapo anamwakilisha Mheshimiwa Rais Adama Barrow katika Mkut [...]
Naibu Waziri Mkuu wa Eswatini awasili nchini

Naibu Waziri Mkuu wa Eswatini awasili nchini

Naibu Waziri Mkuu wa Ufalme wa Eswatini, Mheshimiwa Thulisile Dladla, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kilele wa Wakuu [...]
Waziri Mkuu wa Niger atua Tanzania

Waziri Mkuu wa Niger atua Tanzania

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Niger, Mheshimiwa Ali Mahaman Lamine Zeine, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kilele wa Wakuu [...]
TRA yaahidi kuendelea kutekeleza maagizo ya Rais Samia

TRA yaahidi kuendelea kutekeleza maagizo ya Rais Samia

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda akiwa katika maadhimisho ya siku ya Mlipakodi Jijini Dar es Salaam amesema ku [...]
Haya hapa matokeo ya kidato cha nne 2024

Haya hapa matokeo ya kidato cha nne 2024

Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika Novemba 11 hadi 29, 2024. Katibu Mtendaji wa [...]
Mapato ya bandari yashuka tani mil 30.9

Mapato ya bandari yashuka tani mil 30.9

Bandari kubwa zaidi nchini Msumbiji imeripotiwa kushuka kibiashara kwa mwaka 2024 kutokana na vurugu za uchaguzi. Vurugu hizo za uchaguzi ikiwemo m [...]
Rais Samia aeleza Tanzania ilivyofanyia kazi mapendekezo ya WHO

Rais Samia aeleza Tanzania ilivyofanyia kazi mapendekezo ya WHO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Dkt. Tedros Abhanom, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la A [...]
Wajumbe washinikiza kuendelea na Samia na Mwinyi

Wajumbe washinikiza kuendelea na Samia na Mwinyi

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM wameshinikiza chama hicho kuwapitisha kwa kauli moja Rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan na Ra [...]
Wafanyabiashara wakimbilia fursa SGR

Wafanyabiashara wakimbilia fursa SGR

BAADHI ya wafanyabiashara wamejitokeza kwa Shirika la Reli Tanzania (TRC) kutaka wawe wanasafirishiwa mizigo yao kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma waka [...]
Kufuatia mashambulizi ya Israel idadi ya vifo Gaza vyafika 77

Kufuatia mashambulizi ya Israel idadi ya vifo Gaza vyafika 77

IDADI ya vifo kutokana na mashambulizi ya angani ya Israel huko Gaza imefikia 77, saa chache baada ya kutangazwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano [...]
1 2 3 4 5 240 30 / 2396 POSTS
error: Content is protected !!