Author: Cynthia Chacha
Rais Samia apanda viwango Forbes
Jarida la Forbes la nchini Marekani limemtaja Rais Samia Suluhu Hassan kuwa miongoni mwa wanawake 100 wenye nguvu zaidi duniani akishika nafasi ya 91 [...]
Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 1,548
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 1,548 kwa vigezo mbalimbali ambapo 22 kati yao wanaachiliwa huru tarehe 9 Disemba, 2024 na 1,526 [...]
Ushindi wa Rais Mpya Mwanamke wa Namibia: Ishara Mpya ya Kuinuka kwa Viongozi Wanawake Afrika
Tarehe 4 Desemba 2024, historia mpya imeandikwa nchini Namibia baada ya Netumbo Nandi-Ndaitwah, mwenye umri wa miaka 72, kushinda nafasi ya urais na k [...]
Rais Samia: Kwaheri Dkt. Ndugulile
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaongoza waombolezaji kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi [...]
Rais Samia kuunda tume ya uchunguzi Ngorongoro
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema ataunda Tume mbili ambapo moja itachunguza na kutoa mapendakezo kuhusu masua [...]
Ufafanuzi kupotea kwa Abdul Nondo
JESHI la Polisi limefafanua kuwa linaendelea na ufuatiliaji wa tukio la kupotea kwa Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, Abdul No [...]
Rais Samia amlilia Dkt. Ndugulile
Aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Faustine Ndugulile amefariki dunia usiku wa kuamkia leo alipokuwa [...]
Rais Samia: Maamuzi ya wapiga kura yaheshimiwe
Rais Samia Suluhu Hassan amehimiza kuheshimiwa kwa maamuzi ya wapiga kura akieleza kwamba demokrasia yenye nguvu hujengwa kwa misingi ya heshima na ms [...]
SADC yasisitiza uchaguzi wa amani Namibia
Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imetoa wito kwa wananchi wa Namibia kukumbatia amani na umoja kabla [...]
Takukuru Mwanza yakemea rushwa kipindi cha uchaguzi
Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mwanza imewaonya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za M [...]