Author: Cynthia Chacha

1 4 5 6 7 8 251 60 / 2508 POSTS
Wanafunzi mikopo elimu ya juu kuongezeka

Wanafunzi mikopo elimu ya juu kuongezeka

Idadi ya wanafunzi wanaonufaika na mikopo ya elimu ya juu itaongezeka kutoa 245,314 mwaka 2024/2025 hadi wanafunzi 252,773 mwaka 2025/2026. Tarifa [...]
INEC Yaunda Majimbo Mapya 8 kwa Uchaguzi wa 2025

INEC Yaunda Majimbo Mapya 8 kwa Uchaguzi wa 2025

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeongeza majimbo mapya manane ya uchaguzi nchini, uamuzi utakaongeza ukubwa wa Bunge na kulifanya liwe na wabun [...]
Bajeti ya maji yapaa kwa asilimia 61

Bajeti ya maji yapaa kwa asilimia 61

Wizara ya Maji imeliomba Bunge liidhinishe Sh1.017 kama bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2025/26 ambayo imeongezeka kwa zaidi ya asilimia 60 k [...]
Rais Samia: Hongera Rais Putin

Rais Samia: Hongera Rais Putin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pongezi kwa Rais wa Shirikisho la Urusi, Vladimir Putin, kuadhimisha S [...]
Rais wa Msumbiji kuanza Ziara ya Kiserikali leo nchini

Rais wa Msumbiji kuanza Ziara ya Kiserikali leo nchini

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Daniel Francisco Chapo anatarajia kuanza Ziara ya Kiserikali ya siku tatu hapa nchini kuanzia leo tarehe 07 Mei, 202 [...]
Bei mpya za mafuta kuanza Mei 7,2025

Bei mpya za mafuta kuanza Mei 7,2025

Bei Kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano ya tarehe 7 Mei 2025. [...]
Viongozi wa Kanda CHADEMA mkoa wa Mwanza na wanachama 170 watimkia CCM

Viongozi wa Kanda CHADEMA mkoa wa Mwanza na wanachama 170 watimkia CCM

WANACHAMA 170 wapya wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Mwanza, P [...]
Rais Samia ametunukiwa Medali ya Mother of the Nation Order kutoka kwa Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu

Rais Samia ametunukiwa Medali ya Mother of the Nation Order kutoka kwa Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Medali ya Mother of the Nation Order kutoka kwa Rais wa Umoja wa Fa [...]
Yanga SC kuendelea na msimamo wao wa kutoshiriki mchezo namba 184 dhidi ya Simba SC

Yanga SC kuendelea na msimamo wao wa kutoshiriki mchezo namba 184 dhidi ya Simba SC

Klabu ya Yanga Sc imesema itaendelea na msimamo wake wa kutoshiriki mchezo namba 184 kwa kile kinachodaiwa kutoridhika na uamuzi wa Mahakama ya Kimata [...]
Tanzania yapanda kimataifa uhuru wa habari

Tanzania yapanda kimataifa uhuru wa habari

Tanzania imepiga hatua katika viwango vya kimataifa vya Uhuru wa Vyombo vya Habari kwa kupanda kutoka nafasi ya 97 mwaka 2024 hadi nafasi ya 95 mwaka [...]
1 4 5 6 7 8 251 60 / 2508 POSTS
error: Content is protected !!