Author: Cynthia Chacha

1 4 5 6 7 8 270 60 / 2699 POSTS
Mfumo mpya wa kodi kuanza Februari 9

Mfumo mpya wa kodi kuanza Februari 9

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Februari 9, mwaka huu inatarajia kuanza rasmi matumizi ya Mfumo Jumuishi wa Usimamizi wa Ukusanyaji wa Mapato ya Ndan [...]
Miradi ya bilioni 15.7 kuufungua mkoa wa Lindi kiuchumi

Miradi ya bilioni 15.7 kuufungua mkoa wa Lindi kiuchumi

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mheshimiwa Zainab Telack, amefanya ziara ya kukagua miradi mitatu ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmshauri ya Manispaa ya [...]
Ujumbe kutoka DRC waishukuru Serikali ya Tanzania kwa kuendelea kutoa hifadhi kwa wakimbizi

Ujumbe kutoka DRC waishukuru Serikali ya Tanzania kwa kuendelea kutoa hifadhi kwa wakimbizi

Ujumbe wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ukiongozwa na Waziri wa Nchi, anayeshughulikia masuala ya Ustawi wa Jamii, Hatua za Kibinadamu na Msh [...]
Mabasi mapya 49 ya mwendokasi yawasili rasmi

Mabasi mapya 49 ya mwendokasi yawasili rasmi

Mabasi mapya na ya kisasa 49 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) yamewasili nchini yakiwa ya hadhi ya kimataifa. Mabasi hayo ya Golden Dragon [...]
Tanzania China za kubaliana kuendeleza ushirikiano wa kimkakati

Tanzania China za kubaliana kuendeleza ushirikiano wa kimkakati

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amekutana na kufanya mazungumzo ya pande mbili na mgeni w [...]
Bandari ya Mtwara mbioni kupokea mitambo ya kuchimba gesi

Bandari ya Mtwara mbioni kupokea mitambo ya kuchimba gesi

Kwa mara ya kwanza katika historia, Bandari ya Mtwara inatarajiwa kuanza kupokea mitambo na vifaa vya kisasa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi mkubwa [...]
Venezuela kukabidhi kati ya mapipa milioni 30 hadi 50 ya mafuta kwa Marekani

Venezuela kukabidhi kati ya mapipa milioni 30 hadi 50 ya mafuta kwa Marekani

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa Mamlaka za Mpito nchini Venezuela zitakabidhi kati ya mapipa milioni 30 hadi 50 ya mafuta ya ubora wa [...]
Tanzania yawakamata Wakenya 5 waliovuka mpaka Horohoro

Tanzania yawakamata Wakenya 5 waliovuka mpaka Horohoro

Mamlaka za Tanzania zimewakamata raia watano wa Kenya, wakiwemo maafisa wawili wa polisi, baada ya kuvuka mpaka katika eneo la Horohoro kwa lengo la k [...]
Zaidi ya shilingi bilioni 280 kutumika kuimarisha upatikanaji wa umeme Dar

Zaidi ya shilingi bilioni 280 kutumika kuimarisha upatikanaji wa umeme Dar

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema Serikali inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kuboresha miundombinu ya umeme nchini kwa len [...]
Manunuzi na bidhaa migodini yafikia trilioni 5

Manunuzi na bidhaa migodini yafikia trilioni 5

Serikali imetangaza kuongezeka kwa manunuzi ya huduma na bidhaa kwa kampuni za kitanzania kwenye migodi inayomilikiwa na Watanzania kwa asilimia 100 n [...]
1 4 5 6 7 8 270 60 / 2699 POSTS
error: Content is protected !!