Author: Cynthia Chacha
Magazeti ya leo Desemba 21,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Desemba 21,2022.
[...]
Miaka 50 jela kwa kutaka kuipindua Serikali ya Tanzania
Mahakama Kuu ya Diveshi ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imewatia hatiani watu sita, wakiwamo watatu wa familia moja na kuwahukumu kwenda jela mi [...]
Magazeti ya leo Desemba 20,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Desemba 20,2022.
[...]
Tanzania yaupiga mwingi Kombe la Dunia Qatar
Tanzania imenufaika na Michuano za Kombe la Dunia nchini Qatar kwa kuongeza mauzo ya nyama katika jimbo la Ghuba kwa mwezi mzima wa michuano hiyo.
[...]
Njaa yawatesa waliokataa kuhama Ngorongoro
Ukame na njaa inayoendelea kuutikisa Mkoa wa Arusha na baadhi ya maeneo nchi umewafanya wananchi waliokataa kuhama kwa hiyari kutoka Bonde la Ngorongo [...]
Watu 2,300 kushuhudia ujazwaji maji Bwawa la Nyerere
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguaji wa lango la handaki mchepuko litakaloruhusu maji yaanze kujaa katika bwawa [...]
Magazeti ya leo Desemba 19,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Desemba 19,2022.
[...]
Serikali kuboresha maslahi ya wanahabari 2023
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema mwaka 2023 Serikali itaweka nguvu kubwa katika kuboresha maslahi ya waandis [...]
Magazeti ya leo Desemba 18,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumapili Desemba 18,2022.
[...]
Benki ya Dunia yatoa mkopo wa zaidi ya bilioni 700 kwa Tanzania
Huenda tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama vijijini likapungua nchini Tanzania baada ya Benki ya Dunia kuidhinisha mkopo wa zaidi ya Dola za [...]