Author: Cynthia Chacha
Bidhaa za Tanzania kutotozwa ushuru Uingereza
Serikali ya Uingereza imefungua milango kwa bidhaa za Tanzania kulifikia soko la nchi hiyo bila kutozwa ushuru.
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwek [...]
Uhaba wa malisho chanzo cha bei ya nyama kupaa
Meneja wa Shughuli za Masoko wa Bodi ya Nyama nchini, John Chasama amesema uhaba wa ng'ombe unaosababishwa na kukosekana kwa malisho kumepelekea bei y [...]
Magazeti ya leo Novemba 30,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Novemba 30,2022.
[...]
Yanga unbeaten nani kasema ?
Timu ya Yanga SC imeangukia pua baada ya kukubali kichapo cha goli 2- 1 kutoka timu ya Ihefu katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa leo kwenye dim [...]
Apple kuifungia Twitter
Elon Musk ameishutumu Apple Inc (AAPL.O) kwa kutishia kuifungia Twitter Inc katika duka lake la programu bila kusema sababu za hatua hizo wakati wa mf [...]
Ajinyonga siku ya kwenda kutoa mahari
Dk Joseph Ngonyani anadaiwa kujinyonga kwa kutumia shuka akiwa nyumbani kwake kitongoji cha Saghana na kuacha simanzi na vilio kwa ndugu na majirani.
[...]
Waziri Mkuu amsimamisha kazi mtumishi aliyekutwa na sare za jeshi
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amemsimamisha kazi Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Kibiti, Goefrey Haule, kwa tuhuma za rushwa na kukutwa ame [...]
Magazeti ya leo Novemba 29,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumannee Novemba 29,2022.
[...]
Rais Samia azitaka Jumuiya CCM kuvunja makundi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe. Samia Suluhu Hassan ameelekeza Jumuiya ya Wanawake UWT kuongeza Nguvu katika k [...]
Bilioni 7 kumaliza kero ya maji Ludewa
Serikali imetoa zaidi ya Sh.bilioni 7 kwa wakala wa maji safi na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa),kwa ajili ya kutekeleza mradi mkubwa wa maji kat [...]