Author: Cynthia Chacha

1 87 88 89 90 91 250 890 / 2500 POSTS
Ujerumani yaipatia Tanzania msaada wa Bil.209

Ujerumani yaipatia Tanzania msaada wa Bil.209

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Ujerumani wameipata Tanzania msaada wa Shilingi bilioni 209,746,204,779.00 kwa ajili ya masua [...]
Magazeti ya leo Novemba 18,2022

Magazeti ya leo Novemba 18,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Novemba 18,2022. [...]
Mbunge Lugangira: Ndege ilishindwa kutua Uwanja wa Bukoba

Mbunge Lugangira: Ndege ilishindwa kutua Uwanja wa Bukoba

Mbunge wa Vita maalumu , Neema Lugangira ameiomba serikali kuchukua hatua katika maboresho ya uwanja wa ndege Bukoba. Kupitia ukurasa wake wa Insta [...]
Serikali kushirikiana na sekta binafsi ujenzi wa barabara ya haraka

Serikali kushirikiana na sekta binafsi ujenzi wa barabara ya haraka

Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi inakusudia kujenga barabara ya haraka (express way) kutoka Kibaha hadi Morogoro ambayo itakuwa ya kulipia. [...]
Diwani Rwakatare apotea tena

Diwani Rwakatare apotea tena

Yule Diwani aliyepotea kwa Miezi mitatu na kupatikana kwenye nyumba ya mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Ashura Ally Matitu, mkazi wa Tabata da [...]
Magazeti ya leo Novemba 17,2022

Magazeti ya leo Novemba 17,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Novemba 17,2022. [...]
Tanzania kumi bora uvutaji bangi

Tanzania kumi bora uvutaji bangi

Ripoti ya hivi majuzi kuhusu matumizi ya tumbaku kutoka kwa kikundi cha kampeni ya afya ya umma na wasomi wa Marekani imegundua kwamba viwango vya uvu [...]
Daraja la Uhasibu kuanza kutumika Januari 2023

Daraja la Uhasibu kuanza kutumika Januari 2023

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema kati ya Desemba hadi Januari mwaka 2023, daraja la juu makutano ya barabara za Kilwa na M [...]
Magazeti ya leo Novemba 16,2022

Magazeti ya leo Novemba 16,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Novemba 16,2022. [...]
SIMBA SC: Muharami hakuwa muajiri wetu

SIMBA SC: Muharami hakuwa muajiri wetu

Uongozi wa Klabu ya Simba umesema kocha wa makipa Muharami Said Mohammd ‘Shilton’ aliyekamatwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya [...]
1 87 88 89 90 91 250 890 / 2500 POSTS
error: Content is protected !!