Author: Cynthia Chacha
Nafasi ya kazi Hospitali ya Mount Meru
Tangazo la nafasi ya kazi ya Mkataba- Daktari Bingwa (Radiolojia)- Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha - Mount Meru.
[...]
Magazeti ya leo Novemba 10,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Novemba 10,2022.
[...]
Rais Samia azikumbusha nchi zilizoendelea kutimiza ahadi
Rais Samia Suluhu amezitaka nchi zilizoendelea kutimiza ahadi ya kutoa fedha kwa nchi masikini kwa ajili ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tab [...]
Simulizi ya kijana Majaliwa, shujaa aliyeokoa watu 24
Majaliwa ni jina linalovuma ndani na hata nje ya nchi baada ya kuwa ‘raia wa kwanza’ aliyeshuhudia na kushiriki kikamilifu uokoaji wa watu katika ndeg [...]
Magazeti ya leo Novemba 9,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Novemba 9,2022.
[...]
Precision Air ilivyotolewa ziwani
Ndege ya Precision air iliyopata ajali siku ya jumapili baaada ya kushindwa kutua kwenye Uwanja wa ndege wa Bukoba na kudondokea ziwa Victoria tayari [...]
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji lampokea Majaliwa
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji lampokea Rasmi Kijana Majaliwa Jackson,Maagizo ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu Samia Suluhu Hassan ,yameshatekelezwa.
[...]
Magazeti ya leo Novemba 8,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Novemba 8,2022.
[...]
Wavuvi Ziwa Victoria kupewa mafunzo wa uokoaji
Kufuatia ombi la Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila la kuwapa mafunzo wavuvi wanaofanya shughuli zao kando ya Ziwa Victoria, Waziri Mkuu, Kassim [...]
Kijana aliyeokoa watu kwenye ndege ya Precision Air apewa milioni 1
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila amemkabidhi kijana mmoja mvuvi aliyejitosa kwenye maji akijaribu kuwaokoa wahanga wa ajali ya ndege ya Precis [...]