Category: Elimu

1 2 3 4 36 20 / 357 POSTS
Hatua za kuweka chandarua kitandani

Hatua za kuweka chandarua kitandani

Watu wengi wamekuwa wakishindwa kuweka chandarua (neti) kwa ufasaha na hivyo wakati mwingine hujikuta wakilala na mdudu mbu ndani ya neti. Kwa kuja [...]
Fahamu watu wanne wanaoweza kuharibu mahusiano yenu

Fahamu watu wanne wanaoweza kuharibu mahusiano yenu

Hivi karibuni mahusiano na ndoa za watu wengi hasa vijana zimekua zikivunja huku sababu kubwa ikitajwa kuwa ni wivu wa mapenzi au kushindwa kuvumilian [...]
Faida 3 za kutovaa nguo za ndani

Faida 3 za kutovaa nguo za ndani

Kama ulikua unajisikia vibaya pindi uvaapo chupi basi sasa unaweza kuwa na amani na kuacha kuzivaa kwani kuna faida endapo utaacha. Zifuatazo ni fa [...]
Magari haya yanatumia kiwango kidogo cha mafuta

Magari haya yanatumia kiwango kidogo cha mafuta

Bei za mafuta zimeendelea kupaa katika soko la dunia na Tanzania, jambo lililosababisha gharama za maisha kuongezeka kwa kasi. Hii imewafanya baadhi [...]
Usichaji simu hadi asilimia 100

Usichaji simu hadi asilimia 100

Huenda watumiaji wa simu za mkononi za iPhone zinazotengenezwa na kampuni ya Apple wakaepuka gharama za kununua au kutengeneza betri za simu yao mara [...]
Fahamu jinsi Homa ya Mgunda inavyoambukizwa

Fahamu jinsi Homa ya Mgunda inavyoambukizwa

Ugonjwa wa Homa ya Mgunda (Leptospirosis) huambukizwa kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu kupitia uchafuzi wa mazingira ikiwemo vyanzo vya maji kut [...]
Fahamu madhara ya kukaa kwenye kiti muda mrefu

Fahamu madhara ya kukaa kwenye kiti muda mrefu

Wafanyakazi wanaokaa kwenye viti muda mrefu ofisini, wapo hatarini kuvimba miguu kutokana na kubana mishipa ya damu. Wanashauriwa kujenga tabia ya [...]
Epuka matumizi ya mate wakati wa kujamiiana

Epuka matumizi ya mate wakati wa kujamiiana

Wakati matumizi ya mate yakiwa maarufu kwa wengi wakati wa kujamiiana, hasa yanapotumika kama aina fulani ya kilainishi hasa ukeni na hivyo kuleta lad [...]
Fahamu sababu za kutokwa na damu puani

Fahamu sababu za kutokwa na damu puani

Kutokwa na damu puani ni hali inayotokea watu wengi hasa wakati wa utoto na uzee. Damu hii hutoa kwenye kuta za ndani za pua. Kuta hizi zimejaa miship [...]
15 wafutiwa matokeo kidato cha 6

15 wafutiwa matokeo kidato cha 6

Watahiniwa 15 wamefutiwa matokeo yao ya mtihani wa kidato cha sita Mwaka 2022 kutokana na vitendo vya udanganyifu idadi ambayo imepungua kwa takriban [...]
1 2 3 4 36 20 / 357 POSTS
error: Content is protected !!