Category: Kimataifa
Wizara yalaani watalii wakiume kuvishana pete Zanzibar
Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale kupitia Kamisheni ya Utalii ya Zanzibar imelaani kitendo cha Watalii wawili wa jinsi moja (wanaume) kuvalishana pete [...]
Tanzania na Msumbiji mambo safi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi wameshuhudia utiaj [...]
Marais wa Afrika kupakiwa kwenye basi ni dhihaka?
Na Abbas Mwalimu
(0719258484).
Jumatatu tarehe 19 Septemba, 2022.
Kumekuwa na mijadala mingi kuhusu viongozi wa Afrika kupakiwa kwenye usafi [...]
Msimamo wa Tanzania bomba la mafuta EACOP
Serikali ya Tanzania imesema ya kwamba miradi yote mikubwa inayotekelezwa nchini humo inafuata sheria na kanuni za kimataifa ikiwemo za utunzaji wa ma [...]
Lita ya petroli Nairobi Sh3469.94
Lita moja ya petroli jijini Nairobi sasa itauzwa kwa Sh3469.94 (Ksh179.30) kutoka Ksh159 katika bei mpya iliyotangazwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Nisha [...]
Rais Samia azidi kuwawezesha wanawake na vijana
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi kutoa msaada wa kutosha kwa wajasiriamali wanawake na vijan [...]
Nguo 5 za kuvutia zaidi za Malkia Elizabeth II
Malkia Elizabeth alikuwa mfalme wa mitindo na darasa kwa watu wengi. Zaidi ya miaka 70 ya utawala wake amekuwa akionekana kwenye mitindo mbalimbali ya [...]
10 Septemba siku ya kuzuia kujiua
Nchini Marekani, mwezi Septemba ni maalum kuhakikisha unazuia mtu kujiua kwani wanaamini tunaishi katika nyakati ngumu hivyo mtu anaweza kuchukua maam [...]
Hatua atakazo fanya Mfalme Charles III
Kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth, Mkuu wa zamani wa Wales, Charles, amerithi kiti cha ufalme bila sherehe yoyote. Hata hivyo, kuna idadi ya hatua za [...]
Rais amfukuza kazi waziri mkuu akihofia kupinduliwa
Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye amemfuta kazi waziri mkuu na msaidizi wake mkuu katika msako mkubwa jana baada ya kuonya kuhusu njama za mapind [...]