Category: Kimataifa

1 10 11 12 13 14 62 120 / 615 POSTS
Rais Samia miongoni mwa mwanawake 100 wenye ushawishi Afrika

Rais Samia miongoni mwa mwanawake 100 wenye ushawishi Afrika

Kampuni ya Avance Media katika toleo lake la tano imetoa orodha ya wanawake 100 wenye ushawishi zaidi barani Afrika kwa mwaka 2023. Miongoni mwao n [...]
Tanzania ya pili Afrika, 12 duniani kuongezeka watalii

Tanzania ya pili Afrika, 12 duniani kuongezeka watalii

Tanzania imeongeza idadi ya watalii wa kigeni wanaoingia nchini kwa asilimia 19 kufikia Septemba mwaka huu ikilinganishwa na idadi ya juu iliyopata ku [...]
Rais Samia apanda viwango wanawake 100 wenye ushawishi duniani

Rais Samia apanda viwango wanawake 100 wenye ushawishi duniani

Rais Samia Suluhu Hassan ametajwa kuwa miongoni mwa wanawake 100 wenye ushawishi mkubwa walioorodheshwa katika jarida la Forbes la wanawake wenye uwez [...]
Mazingira magumu Kenya yaikimbiza Standard Chartered Bank

Mazingira magumu Kenya yaikimbiza Standard Chartered Bank

Benki ya Standard Chartered Kenya imepunguza kiasi kikubwa cha hisa zake katika dhamana za serikali ya Kenya kwa 52% baada ya kupata hasara ya uwekeza [...]
Mtaji wa KCB Bank Kenya wapungua kwa 9% huku Tanzania ukikua 157%

Mtaji wa KCB Bank Kenya wapungua kwa 9% huku Tanzania ukikua 157%

Kenya Commercial Bank (KCB) imeripotiwa kupungua kwa shughuli zake nchini Kenya na ukuaji imara ukishuhudiwa katika matawi yake ya nchi nyingine ndani [...]
Romania kufadhili wanafunzi 10 wa Tanzania

Romania kufadhili wanafunzi 10 wa Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan amesema yeye pamoja na mgeni wake Rais wa Romania, Klaus Iohannis wamekubaliana kutoa nafasi za ufadhili wa masomo kwa wanafu [...]
Rais wa Romania kuja nchini kwa ziara ya kitaifa

Rais wa Romania kuja nchini kwa ziara ya kitaifa

RAIS wa Romania, Klaus Iohannis, kesho November 16 hadi 19, 2023 anatarajia kufanya ziara ya Kitaifa nchini hapa kufuatia mwaliko alioupata kutoka kwa [...]
Rais Samia anavyo-trend India

Rais Samia anavyo-trend India

Kwenye mtandao maarufu wa Google nchini India, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekuwa mtu wa pili kwa habari zake kutafutwa sana kuliko mambo [...]
Lengo ni kufikia uwekezaji wa Dola bilioni 3 ifikapo 2025

Lengo ni kufikia uwekezaji wa Dola bilioni 3 ifikapo 2025

Tanzania inalenga kuongeza uwekezaji kutoka India ambaye ni mshiriki wake mkubwa katika biashara. Inatarajia uwekezaji kutoka India kupanda hadi do [...]
Rais Samia kutunukiwa shahada ya heshima kwa kukuza uhusiano kati ya Tanzania na India

Rais Samia kutunukiwa shahada ya heshima kwa kukuza uhusiano kati ya Tanzania na India

Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru leo kinamtuku Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, shahada ya heshima. Rais yupo kwenye ziara ya siku nne nchini Ind [...]
1 10 11 12 13 14 62 120 / 615 POSTS
error: Content is protected !!