Category: Kimataifa

1 21 22 23 24 25 55 230 / 550 POSTS
NCCR-Mageuzi zafungua ofisi

NCCR-Mageuzi zafungua ofisi

Baada ya kutokea vurugu zilizosababisha Ofisi za Makao Makuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi zilizopo Ilala mkoani Dar es Salaam kufungwa na kuwekwa chini y [...]
Fahamu changamoto alizopitia Rais Samia

Fahamu changamoto alizopitia Rais Samia

Akizungumza kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) uliofanyika nchini Ghana, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. S [...]
Ukweli kuhusu ‘Monkeypox’ Tanzania

Ukweli kuhusu ‘Monkeypox’ Tanzania

Wizara ya Afya Tanzania imesema hayupo wala hajawahi kuwepo Mgonjwa wa homa ya nyani Nchini Tanzania (Monkeypox) lakini hata hivyo imetaka Watu wote k [...]
Kim Jong-un bila barakoa

Kim Jong-un bila barakoa

Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un ameonekana akihudhuria mazishi ya afisa mkuu wa Korea Kaskazini akiwa hajavaa barakoa licha ya kuwa nchi hiyo ipo [...]
Rais Samia ang’ara tena kimataifa

Rais Samia ang’ara tena kimataifa

Kwa mujibu wa jarida la TIME 100, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu ametajwa katika orodha ya viongozi 100 wenye ushawishi mkubwa d [...]
Mwanamke wa kwanza Afrika kuchezesha Kombe la Dunia

Mwanamke wa kwanza Afrika kuchezesha Kombe la Dunia

Akiwa na binti mdogo mwenye mapenzi makubwa na michezo, mara baada ya kuambiwa kuwa yeye ni mdogo sana kucheza mpira wa kikapu, aliamua kuhamishia map [...]
Fahamu Ukweli kuhusu Monkeypox

Fahamu Ukweli kuhusu Monkeypox

Hivi karibuni  zaidi ya watu 80 katika takriban nchi 12 za Ulaya wameambukizwa na Homa ya nyani. Kesi ya kwanza iliyoripotiwa nchini Uingereza ilik [...]
Museveni : Kuleni mtama na mihogo

Museveni : Kuleni mtama na mihogo

Hotuba ya Rais wa Uganda Yoweri Museveni kuhusu kupanda kwa bei ya bidhaa haikutoa ahueni kwa mamilioni ya Waganda ambao wako kwenye ukingo wa kutumbu [...]
Watangazaji walazimika kuficha sura

Watangazaji walazimika kuficha sura

Sheria mpya ya viongozi wa Taliban nchini Afghanistan imewalazimisha waandishi wa habari na watangazaji wanawake kuziba nyuso zao wanapoonekana kwenye [...]
Jinsi ya kunywa pombe

Jinsi ya kunywa pombe

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imezindua tovuti inayoelimisha jamii kuhusu unywaji wa pombe wa kistaarabu ambayo ipo kwa lugha ya kiingereza na kis [...]
1 21 22 23 24 25 55 230 / 550 POSTS
error: Content is protected !!