Category: Kimataifa

1 2 3 4 5 6 56 40 / 552 POSTS
Rais Samia amuunga mkono Raila Odinga AU

Rais Samia amuunga mkono Raila Odinga AU

Nairobi, Kenya – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempongeza kwa dhati Mheshimiwa Raila Amolo Odinga kwa uongozi wake wa [...]
Uhamisho wa Wamasai kutoka katika eneo la Hifadhi la Ngorongoro umekuwa na mvutano mkubwa kitaifa na kimataifa

Uhamisho wa Wamasai kutoka katika eneo la Hifadhi la Ngorongoro umekuwa na mvutano mkubwa kitaifa na kimataifa

Uhamisho wa Wamasai kutoka katika Eneo la Hifadhi la Ngorongoro (NCA) umekuwa na mvutono mkubwa kitaifa na kimataifa. Ili kuelewa hali ya sasa, ni [...]
Rais Samia kuhudhuria Mkutano wa SADC

Rais Samia kuhudhuria Mkutano wa SADC

Rais Samia Suluhu anatarajia kuhudhuria Mkutano wa 44 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika ( SADC) utakaofanyika Ago [...]
Umoja wa Afrika watoa tahadhari ya Mpox

Umoja wa Afrika watoa tahadhari ya Mpox

Uangalizi wa afya wa Umoja wa Afrika umetangaza dharura ya afya ya umma kutokana na kuenea kwa ugonjwa wa mpox barani Afrika, ukisema kuwa hatua hiyo [...]
Ruto atangaza Baraza la Mawaziri

Ruto atangaza Baraza la Mawaziri

Rais wa Kenya, William Ruto ametangaza orodha nyingine ya Mawaziri wapya 10. Kwenye Orodha hiyo, Ruto amechagua mpaka mawaziri kutoka vyama vya Upinza [...]
Ford Foundation yakana tuhuma za Rais Ruto

Ford Foundation yakana tuhuma za Rais Ruto

Nairobi, Kenya - Shirika la hisani la kimataifa lenye makao yake Marekani, Ford Foundation, limekanusha madai ya Rais William Ruto kwamba limefadhili [...]
Rais wa Guinea kufanya ziara ya siku tatu Tanzania

Rais wa Guinea kufanya ziara ya siku tatu Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Guinea Bissau na Mwenyekiti wa Taasisi ya Muungano wa Viongozi wa Afrika katika Kudhibiti Malaria (ALMA), Mheshimiwa Umaro Sissoco [...]
Watalii wa kimataifa wamiminika Tanzania kwa ongezeko la 22%

Watalii wa kimataifa wamiminika Tanzania kwa ongezeko la 22%

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kupitia ripoti yake ya mwezi Mei 2024 inaonyesha ukuaji wa sekta ya utalii na namna inavyoendelea kuvunja rekodi kwa ujio [...]
Rais Samia aanza ziara ya siku saba nchini Korea

Rais Samia aanza ziara ya siku saba nchini Korea

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya siku saba katika Jamhuri ya Korea Kusini na leo anatarajiwa ku [...]
Rais Samia kuongoza Mkutano wa SADC Agosti, 2024

Rais Samia kuongoza Mkutano wa SADC Agosti, 2024

Kuanzia mwezi Agosti, 2024 Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakuwa Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi n [...]
1 2 3 4 5 6 56 40 / 552 POSTS
error: Content is protected !!