Category: Kimataifa
Rais Samia kuhudhuria Mkutano wa SADC
Rais Samia Suluhu anatarajia kuhudhuria Mkutano wa 44 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika ( SADC) utakaofanyika Ago [...]
Umoja wa Afrika watoa tahadhari ya Mpox
Uangalizi wa afya wa Umoja wa Afrika umetangaza dharura ya afya ya umma kutokana na kuenea kwa ugonjwa wa mpox barani Afrika, ukisema kuwa hatua hiyo [...]
Ruto atangaza Baraza la Mawaziri
Rais wa Kenya, William Ruto ametangaza orodha nyingine ya Mawaziri wapya 10. Kwenye Orodha hiyo, Ruto amechagua mpaka mawaziri kutoka vyama vya Upinza [...]
Ford Foundation yakana tuhuma za Rais Ruto
Nairobi, Kenya - Shirika la hisani la kimataifa lenye makao yake Marekani, Ford Foundation, limekanusha madai ya Rais William Ruto kwamba limefadhili [...]
Rais wa Guinea kufanya ziara ya siku tatu Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Guinea Bissau na Mwenyekiti wa Taasisi ya Muungano wa Viongozi wa Afrika katika Kudhibiti Malaria (ALMA), Mheshimiwa Umaro Sissoco [...]
Watalii wa kimataifa wamiminika Tanzania kwa ongezeko la 22%
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kupitia ripoti yake ya mwezi Mei 2024 inaonyesha ukuaji wa sekta ya utalii na namna inavyoendelea kuvunja rekodi kwa ujio [...]
Rais Samia aanza ziara ya siku saba nchini Korea
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya siku saba katika Jamhuri ya Korea Kusini na leo anatarajiwa ku [...]
Rais Samia kuongoza Mkutano wa SADC Agosti, 2024
Kuanzia mwezi Agosti, 2024 Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakuwa Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi n [...]
Tanzania kinara kwa uhuru wa vyombo vya habari Afrika Mashariki
Tanzania imekuwa nchi bora yenye uhuru wa vyombo vya habari katika ukanda wa Jumuiya ya Afrika Mashariki baada ya maboresho yaliyofanywa na Serikali y [...]
17 waokolewa meli iliyozama DRC
SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limesema watu 17 wameokolewa katika tukio la kuzama Meli ya MV Maman Benita kwenye Ziwa Tanganyika, iliyo [...]