Category: Kitaifa

1 99 100 101 102 103 193 1010 / 1930 POSTS
Kiasi kilichotolewa na Yanga SC kumpata KI

Kiasi kilichotolewa na Yanga SC kumpata KI

 Usajili huo ambao unajumuisha nyota mbalimbali wa ndani na nje, usiku wa kuamkia leo Julai 15,2022 Yanga SC wamemtambulisha nyota na kiungo msham [...]
Tanzania yapokea dozi milioni 3 chanjo ya corona

Tanzania yapokea dozi milioni 3 chanjo ya corona

Shehena nyingine ya chanjo aina ya Sinopharm dozi milioni tatu zimeingia nchini ambazo zitawakinga Watanzania 1,500,000 dihi ya ugonjwa wa Uviko-19. [...]
Rais Samia aeleza umuhimu wa sekta binafsi

Rais Samia aeleza umuhimu wa sekta binafsi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amesema kuna umuhimu kwa viongozi na watendaji wa Serikali kutathimini utekele [...]
Rais ajiuzulu

Rais ajiuzulu

Rais wa Sri Lanka, Gotabaya Rajapaska amejiuzulu rasmi leo alhamisi Julai 14,2022 akiwa Singapore. Rais huyo aliamua kukimbia nchi yake siku ya Jum [...]
Aeleza namna bora ya kumuenzi hayati Mkapa

Aeleza namna bora ya kumuenzi hayati Mkapa

Rais Samia Suluhu Hassan amesema njia bora ya kuendelea kumuenzi aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Benjamin Mkapa ni kuimarisha ushirikiano kati ya Se [...]
Wachezaji walioitwa kambini

Wachezaji walioitwa kambini

Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Kim Poulsen ameita kikosi cha wachezaji 24, kitakachoingia kambini kwa ajili ya michezo ya kufuzu kwa [...]
Tanapa yapiga marufuku uvaaji wa sare zake

Tanapa yapiga marufuku uvaaji wa sare zake

Jeshi la Uhifadhi wa Wanyamapori na Misitu la Mamlaka ya Hifadhi ya Taifa (TANAPA) imeagiza watu waache kuvaa sare zake popote. Taarifa hii imetole [...]
Uwoya : natafuta mtu wa kunichekesha

Uwoya : natafuta mtu wa kunichekesha

Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania Irene Uwoya, ametangaza ajira kwa mtu yeyote mchekeshaji atayekuwa na jukumu la kumchekesha muda wote. Kupitia [...]
Watatu wafariki kwa ugonjwa usiofahamika

Watatu wafariki kwa ugonjwa usiofahamika

Wizara ya Afya imetangaza vifo vya watu watatu vilivyosababishwa na ugonjwa ambao bado haujafahamika ambavyo vimetokea katika Kituo cha Afya Mbekenyer [...]
Mkanda wa Nelson Mandela waibiwa

Mkanda wa Nelson Mandela waibiwa

Polisi wa Afrika Kusini wameanzisha msako wa kuwasaka washukiwa walioiba mkanda wa ndondi uliotolewa kwa Nelson Mandela na bingwa wa Marekani Sugar Ra [...]
1 99 100 101 102 103 193 1010 / 1930 POSTS
error: Content is protected !!