Category: Kitaifa
Rais Samia aliwaza mbali nyongeza ya mishahara
Mei 14,2022 , Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan alitimiza ahadi yake ya kuongeza mishahara kwa kutangaza kima cha chin [...]
Ngorongoro mambo safi
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu ametoa fedha kukamilisha mchakato wa wananchi kuhama kutoka Ngorongoro kwenda Kijiji cha Msomer [...]
Ukweli kuhusu wakazi wa Ngorongoro
Serikali imesema wananchi wa maeneo ya Loliondo wapo salama ikibainisha kuwa “hakuna mapambano yoyote” kati ya polisi na wakazi hao wa kaskazini mwa [...]
Makamba afanya uteuzi
Waziri wa Nishati, January Makamba amefanya uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
[...]
Sabaya ashinda kesi
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake sita katika kesi ya uhujumu uchumi namba [...]
Makamba: Si kweli, bei ya umeme haijapanda
Waziri wa Nishati, January Makamba amesema taarifa zinazoenea kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kupanda kwa bei ya umeme si za kweli na Serikali inasi [...]
Watu 18 wafa ajali ya basi mafinga
Watu 18 wamefariki dunia papo hapo baada ya basi dogo aina Costa kugongana uso kwa uso na lori la mizigo karibu na eneo la Changarawe, Mafinga mkoani [...]
Samia atoa milioni 500 kwa ajili ya maji
Rais Samia Suluhu anazidi kuzinufaisha mamlaka za maji baada ya kuagiza zipatiwe Sh milioni 500 kama mkopo kwa ajili ya kusaidia uunganishaji maji kwa [...]
Amuua mume wake kwa kumkaba usingizini
Mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Maria Matheo, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Tabora kwa tuhuma za kumuua mume wake, Gabriel Nguwa (80 [...]
Kesi ya Makonda yaondolewa
Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kinondoni imetupilia mbali na kuiondoa kesi iliyomkabili Paul Makonda juu ya matumizi mabaya ya Ofisi na kuingilia matanga [...]

