Category: Kitaifa
Waliofariki ajali ya Morogoro kulipwa
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (Tira) imesema waathirika wote wa ajali iliyotokea mkoani Morogoro hivi karibuni na kusababisha vifo vya watu 23 [...]
Mambo 3 aliyofanya Rais Samia kwa wanafunzi wa vyuo
Mwaka mmoja sasa tangu Rais Samia Suluhu Hassan atimize mwaka mmoja madarakani ambapo amejitahidi kuhakikisha anagusa maisha ya Watanzania wengi kweny [...]
TMDA: Marufuku sigara hadharani
Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA) Kanda ya Kati, Sonia Mkumbwa ameeleza kuwa watumiaji wa bidhaa za Tumbaku watatakiwa kut [...]
Mama Janeth Magufuli atoa misaada
Mama Janeth Magufuli, Mjane wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt John Pombe Magufuli, amesema ataendeleza utamaduni waliyojiwekea yeye na marehemu m [...]
Mbowe: Niliyoteta na Rais
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amewaeleza na kuweka wazi waandishi wa habari mambo makuu matatu aliyozungumz [...]
Ahadi ya Samia kwa Wananchi wa Chato
Rais Samia Suluhu Hassan amewaahidi wananchi wa Chato mkoani Geita kwamba miradi iliyopangwa itakamilishwa ikiwemo kivyuko cha Chato cha ‘Hapa Kazi Tu [...]
Historia imeandikwa Kituo cha Afya Masasi
Kwa muda mrefu wananchi wa wilaya ya Masasi kata ya Chikundi wamekuwa wakiishi na changamoto kubwa ya upatikanaji wa huduma za afya katika maeneo ya k [...]
Mambo yaliyompa Rais Samia nguvu ya kuongoza nchi baada ya kifo cha JPM
Leo ni mwaka mmoja tangu Taifa limpoteze aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Magufuli kwa ghafla akiwa madarakani hapo Machi 17, 2021, jan [...]
Mwaka Mmoja bila Magufuli
Leo Watanzannia wanaadhimisha mwaka mmoja tangu kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Dk John Joseph Pombe Magufuli aliyefariki Machi 17, 2021, hu [...]
Ajinyonga na waya
Abdul Kasuku (16) mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Mpigimahoge amedaiwa kujinyonga kwa waya jana asubuhi katika shamba la mihog [...]