Category: Kitaifa

1 150 151 152 153 154 197 1520 / 1964 POSTS
Ujumbe wa Samia Kwa Polepole

Ujumbe wa Samia Kwa Polepole

Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaapisha viongozi wawili kati ya tano aliowateua jana Machi 15 ambao ni Bw. Humph [...]
Kenya na Tanzania zaondoa vikwazo 56 vya kibiashara

Kenya na Tanzania zaondoa vikwazo 56 vya kibiashara

Tanzania na Kenya zimefanikiwa kuondoa vikwazo vingine 10 vya kibiashara na kutimiza jumla ya vikwazo vilivyoondolewa kufikia 56 baada y [...]
EAC yatahadharisha magonjwa ya mlipuko

EAC yatahadharisha magonjwa ya mlipuko

Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imezitaka nchi za wanachama wake kuongeza kasi ya kuzuia na kukabiliana na magonjwa ya mlipuko katika kipindi cha mv [...]
Polepole apata shavu ubalozi

Polepole apata shavu ubalozi

Aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi  wa Chama Cha Mapinduzi, Humphrey Polepole ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi katika uteuzi uliofa [...]
Maneno 150 yaongezwa kwenye misamiati ya kiswahili

Maneno 150 yaongezwa kwenye misamiati ya kiswahili

Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) limefanikiwa kuongeza misamiati mipya 150 kwenye Toleo la tatu la Kamusi Kuu ya Kiswahili kama hatua ya kukikuza [...]
Majaliwa awaonya wapotoshaji Ngorongoro

Majaliwa awaonya wapotoshaji Ngorongoro

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa onyo kwa watu wanaotoa maneno ya uchochezi na kupotosha kuhusiana na suala la kuwahamisha wananchi kutoka hifadhi [...]
GSM yafunguka sakata la moto

GSM yafunguka sakata la moto

Baada ya kiwanda cha kutengeneza magodoro cha kampuni ya GSM kilichoko Mikocheni mkoani Dar es Salaam kuungua na moto Machi 14, Mmoja kati ya wasimami [...]
Profesa Mkenda aruhusu vitabu vya ziada

Profesa Mkenda aruhusu vitabu vya ziada

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amepiga marufuku maofisa elimu kuzuia vitabu vya ziada kutumika na kuonya atakayebainika [...]
Bashungwa awala vichwa wakuu wa ugavu 23

Bashungwa awala vichwa wakuu wa ugavu 23

Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Innocent Bashungwa amemuelekeza Katibu Mkuu wa TAMISEMI, Profesa Riziki Shemdoe kuwashushwa [...]
CCM kubadili katiba Aprili 1, 2022

CCM kubadili katiba Aprili 1, 2022

Katibu Mwenezi CCM, Shaka Hamdu Shaka, leo Jumamosi, amesema Aprili 1, 2022,  chama hicho kitafanya mkutano mkuu maalumu kwa ajili ya kufanya marekebi [...]
1 150 151 152 153 154 197 1520 / 1964 POSTS
error: Content is protected !!