Category: Kitaifa

1 171 172 173 174 175 177 1730 / 1770 POSTS
Mfahamu Dkt Tax, mwanamke wa kwanza kuwa Waziri wa ulinzi Tanzania.

Mfahamu Dkt Tax, mwanamke wa kwanza kuwa Waziri wa ulinzi Tanzania.

Historia mpya imeandikwa leo nchini Tanzania ambapo kwa mara ya kwanza Tanzania imepata Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ambaye ni mwanamke. [...]
Ifahamu ‘CV’ ya January Makamba

Ifahamu ‘CV’ ya January Makamba

January Yusuph Makamba alizaliwa tarehe 28, Januari, 1974, akiwa mtoto wa kwanza wa Mzee Yusuf Makamba na mkewe Josephine. Alipata elimu ya msingi [...]
Viongozi 13 ambao Rais Samia ‘amewatumbua’ tangu aingie madarakani

Viongozi 13 ambao Rais Samia ‘amewatumbua’ tangu aingie madarakani

Huu ni mwezi wa sita wa Rais Samia Suluhu Hassan madarakani kama Rais wa Tanzania. Kwa kipindi chote kama Rais wa Tanzania amepanga na kupangua safu y [...]
Rais Samia: Mabadiliko serikalini yanaendelea

Rais Samia: Mabadiliko serikalini yanaendelea

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ataendelea kufanya mabadiliko katika nafasi mbalimbali ndani ya serikali yake. [...]
Aliyefumiliwa nyuzi na daktari aeleza mkasa mzima

Aliyefumiliwa nyuzi na daktari aeleza mkasa mzima

Zubeda Ngereza, mkazi wa Kijiji cha Kerenge tarafa ya Magoma wilayani Korogwe mkoani Tanga ameeleza jinsi tabibu Jackson Meli alivyomfumua nyuzi ali [...]
Ujenzi wa SGR (Dar-Moro) wafikia 93%

Ujenzi wa SGR (Dar-Moro) wafikia 93%

Mkurugenzi wa Mkuu wa Shirika Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema hadi kufikia Agosti 2021 ujenzi wa SGR kipande cha Dar es Salaam hadi mkoa [...]
Shule ya kimataifa ya Wakimbizi kujengwa Tanzania

Shule ya kimataifa ya Wakimbizi kujengwa Tanzania

  Balozi wa Shirika la Elimu, Utamaduni na Sayansi la Umoja wa Nchi za Kiarabu, Amiri Fehri anakusudia kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano [...]
Wafanyakazi 28 wa GGM kizimbani kwa uhujumu uchumi

Wafanyakazi 28 wa GGM kizimbani kwa uhujumu uchumi

Wafanyakazi 28 wa Mgodi wa Dhahabu Geita (GGM) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Geita wakikabiliwa na makosa ya uhujumu uchumi, kuongoza g [...]
Wavuvi wavua risasi 1,400 za SMG ziwani

Wavuvi wavua risasi 1,400 za SMG ziwani

  Wavuvi katika mwambo wa Ziwa Tanganyika wilayani Nkasi mkoani Rukwa, wamevua viboksi viwili ndani yake vikiwa na risasi 1,489 zinazotumiwa n [...]
Utapeli wa ardhi kwa kutumia mahakama waibuka Dar

Utapeli wa ardhi kwa kutumia mahakama waibuka Dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amewatahadharisha wananchi kuhusu utapeli mpya wa ardhi unaoendelea mkoani humo kwenye maeneo ya wazi au v [...]
1 171 172 173 174 175 177 1730 / 1770 POSTS
error: Content is protected !!