Category: Kitaifa

1 173 174 175 176 177 195 1750 / 1944 POSTS
Waliovujisha mitihani ya uuguzi kukiona

Waliovujisha mitihani ya uuguzi kukiona

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Dk Dorothy Gwajima amewataka watanzania kuwa na subira wakati uchunguzi ukiendelea kuhusu [...]
Agizo la mahakama kwa aliyesambaza picha za ngono WhatsApp

Agizo la mahakama kwa aliyesambaza picha za ngono WhatsApp

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa hati ya kumkamata Faraji Omary mwenye umri wa miaka 26 kwa kutotokea mahakamani bila kutoa taarifa. Faraji a [...]
Hiki ni kijiji mkoani Tanga ambacho makaburi yamefukuliwa na maiti kuibwa

Hiki ni kijiji mkoani Tanga ambacho makaburi yamefukuliwa na maiti kuibwa

Wananchi wa Mtaa wa Bwila, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga wameiomba serikali kuingilia kati na kutafuta ufumbuzi wa tatizo lao kwani watu wasiojulikan [...]
Taharuki yatanda watoto kuuawa na Fisi

Taharuki yatanda watoto kuuawa na Fisi

Wakazi wa kata ya Kitangili Manispaa ya Shinyanga wamekumbwa na hofu kufuatia kuwepo kwa matukio ya watoto kuliwa na fisi. Katika matukio hayo watoto [...]
Mjue Bibi Titi Mohammed, Mwanamke aliyezishinda Marekani na Urusi

Mjue Bibi Titi Mohammed, Mwanamke aliyezishinda Marekani na Urusi

Bibi Titi Mohammed, alizaliwa Dar es Salaam mwaka 1926, wazazi wake wote wakitokea Rufiji mkoa wa Pwani na walikuwa waumini wa dini ya Kiislamu. Baba [...]
Watumishi na viongozi wa Serikali washiriki kulima bangi Kilosa

Watumishi na viongozi wa Serikali washiriki kulima bangi Kilosa

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Alhaji Majid Mwanga amewataja baadhi ya viongozi, watumishi wa umma wa vijiji, vitongoji na kata zinazozunguka msitu wa Mkwi [...]
Kamera za usalama kufungwa nchini

Kamera za usalama kufungwa nchini

Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa, ameagiza Wizara ya Teknolojia ya Habari kushirikiana na Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi kufunga kamera za ulinzi kwenye [...]
Mfahamu mtu ‘hatari’ aliyetajwa mbele ya Rais Samia leo

Mfahamu mtu ‘hatari’ aliyetajwa mbele ya Rais Samia leo

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, na mgeni wake, Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi leo waliongea na waandishi wa habari wakieleza yale waliyo [...]
Mambo 6 yaliyozungumzwa na Marais wa Tanzania na Burundi

Mambo 6 yaliyozungumzwa na Marais wa Tanzania na Burundi

Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi, yuko Tanzania kwa ziara kikazi ambapo leo akiongozwa na mwenyeji wake, Rais Samia Suluhu Hassan wamezungumza na [...]
Ahukumiwa kunyongwa kwa kumuua dereva bodaboda

Ahukumiwa kunyongwa kwa kumuua dereva bodaboda

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Kanda ya Mbeya imemhukumu Emmanuel Msomba kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mauaji ya dere [...]
1 173 174 175 176 177 195 1750 / 1944 POSTS
error: Content is protected !!