Category: Kitaifa

1 173 174 175 176 177 1750 / 1770 POSTS
Wanaotaka kujenga ghorofa kuanzia Jeshi la Zimamoto

Wanaotaka kujenga ghorofa kuanzia Jeshi la Zimamoto

Bunge limefanya marekebisho ya sheria likiweka sharti kwa mtu yeyote anayekusudia kujenga jengo lenye urefu wa kuanzia mita 12 kutoka kwenye usawa wa [...]
Machifu; Rais Samia ni ‘nyota ang’avu’.

Machifu; Rais Samia ni ‘nyota ang’avu’.

Leo Rais Samia Suluhu, alikuwa jijini Mwanza akihitimisha tamasha la utamaduni. Moja kati ya mambo makubwa yaliyofanyika katika tamasha hilo, ni umoja [...]
Tanzania inaweza kutengeneza chanjo ya UVIKO-19

Tanzania inaweza kutengeneza chanjo ya UVIKO-19

  Wataalamu wa udhibiti na ufuatiliaji wa magonjwa kupitia mbinu ya Epidemiolojia na maabara (TANFLEA) wamesema Tanzania ina uwezo wa kutengen [...]
Serikali kununua ndege 5 za mafunzo ya urubani

Serikali kununua ndege 5 za mafunzo ya urubani

Serikali imesema Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kitanunuliwa ndege tano za mafunzo ya urubani kuanzia mwaka huu wa fedha. Naibu Waziri wa Uj [...]
Wasifu mfupi wa Jaji Luvanda aliyejitoa kesi ya Mbowe

Wasifu mfupi wa Jaji Luvanda aliyejitoa kesi ya Mbowe

Septemba 6, 2021 vichwa vya habari vilighubikwa na taarifa za jaji aliyekuwa anasikiliza kesi ya ugaidi inayowakabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman M [...]
Kikundi kilichoundwa na diwani chadaiwa kupiga wananchi

Kikundi kilichoundwa na diwani chadaiwa kupiga wananchi

  Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linachunguza madai ya wananchi  wa Kijiji cha Uchau, wilayani Moshi kuwa kumekuwa na ukiukwaji wa haki z [...]
Wafahamu Marais 5 wa Afrika waliouawa wakiwa madarakani

Wafahamu Marais 5 wa Afrika waliouawa wakiwa madarakani

Matukio ya kuuawa kwa viongozi wa juu wa nchi duniani yamekuwa yakipingua kasi katika miongo ya hivi karibuni, lakini hata kwa uchache wake bado yanat [...]
Gazeti la Raia Mwema lasitishiwa leseni ya uchapishaji na usambazaji

Gazeti la Raia Mwema lasitishiwa leseni ya uchapishaji na usambazaji

Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Habari, Gerson Msigwa kwa mamlaka aliyopewa chini ya kifungu cha 9(b) cha Sheria ya Huduma za Habari Na.12 ya 2016 am [...]
Mhudumu wa afya aliyemshona mgonjwa na kumfumua makusudi apatikana

Mhudumu wa afya aliyemshona mgonjwa na kumfumua makusudi apatikana

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imefanikiwa kumpata mhudumu wa afya ambaye video yake imesambaa baada ya kumfum [...]
Daktari amfumua mgonjwa kidonda baada ya kushindwa kulipia

Daktari amfumua mgonjwa kidonda baada ya kushindwa kulipia

Katika hali ya kushangaza mtaalamu wa afya ambaye hajafahamika amedaiwa kufumua nyuzi kwenye kidonda cha mgonjwa kwa madai mgonjwa huyo alishindwa kul [...]
1 173 174 175 176 177 1750 / 1770 POSTS
error: Content is protected !!