Category: Kitaifa
INEC Yaunda Majimbo Mapya 8 kwa Uchaguzi wa 2025
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeongeza majimbo mapya manane ya uchaguzi nchini, uamuzi utakaongeza ukubwa wa Bunge na kulifanya liwe na wabun [...]
Bajeti ya maji yapaa kwa asilimia 61
Wizara ya Maji imeliomba Bunge liidhinishe Sh1.017 kama bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2025/26 ambayo imeongezeka kwa zaidi ya asilimia 60 k [...]
Bei mpya za mafuta kuanza Mei 7,2025
Bei Kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano ya tarehe 7 Mei 2025.
[...]
Viongozi wa Kanda CHADEMA mkoa wa Mwanza na wanachama 170 watimkia CCM
WANACHAMA 170 wapya wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Mwanza, P [...]
Tamko la Pamoja Laweka Msingi wa Ushirikiano Mpya wa Kilimo kati ya Tanzania na Malawi
Tanzania na Malawi zimefikia makubaliano muhimu ya kurejesha na kuimarisha ushirikiano wa kibiashara baada ya kikao cha kihistoria cha mawaziri kutoka [...]
Leseni maalum za uzalishaji chumvi mbioni kuanza
Serikali ipo mbioni kutambulisha leseni mpya ya uzalishaji wa chumvi kwa lengo la kuiondoa bidhaa hito katika kundi la madini mengineyo.
Hayo yalis [...]
Chanzo cha kukatika umeme Mbagala
Wizara ya Nishati, imetaja chanzo cha kukatika umeme jimbo la Mbagala, Dar es Salaam, kuwa ni kuzidiwa kwa Kituo cha Kupoza Umeme cha Mbagala.
Imes [...]
Migogoro zaidi ya 20,000 yapokelewa Kampeni ya Samia
Wizara ya Katiba na Sheria imesema migogoro 24,691 iliyodumu kwa muda mrefu ilipokelewa kupitia Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC), a [...]
Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali.
[...]
Rais Samia azindua Benki ya Ushirika kwa ajili ya kuimarisha Sekta ya Kilimo na Ushirika
Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea na jitihada za kuimarisha sekta ya ushirika na kilimo nchini kwa kuzindua benki ya kwanza ya ushirika, inayomiliki [...]