Category: Kitaifa

1 3 4 5 6 7 185 50 / 1844 POSTS
Serikali yatangaza nafasi za ajira 3,633 za ualimu

Serikali yatangaza nafasi za ajira 3,633 za ualimu

Serikali ya Tanzania imetangaza ajira 3,633 za walimu wa masomo mbalimbali ikiwemo ya Biashara, Ushonaji, Uashi, Umeme, Ufundi magari, Uchomeleaji na [...]
Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 1,548

Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 1,548

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 1,548 kwa vigezo mbalimbali ambapo 22 kati yao wanaachiliwa huru tarehe 9 Disemba, 2024 na 1,526 [...]
Rais Samia: Kwaheri Dkt. Ndugulile

Rais Samia: Kwaheri Dkt. Ndugulile

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaongoza waombolezaji kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi [...]
Rais Samia kuunda tume ya uchunguzi Ngorongoro

Rais Samia kuunda tume ya uchunguzi Ngorongoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema ataunda Tume mbili ambapo moja itachunguza na kutoa mapendakezo kuhusu masua [...]
Ufafanuzi kupotea kwa Abdul Nondo

Ufafanuzi kupotea kwa Abdul Nondo

JESHI la Polisi limefafanua kuwa linaendelea na ufuatiliaji wa tukio la kupotea kwa Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, Abdul No [...]
Rais Samia amlilia Dkt. Ndugulile

Rais Samia amlilia Dkt. Ndugulile

Aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Faustine Ndugulile amefariki dunia usiku wa kuamkia leo alipokuwa [...]
Rais Samia: Maamuzi ya wapiga kura yaheshimiwe

Rais Samia: Maamuzi ya wapiga kura yaheshimiwe

Rais Samia Suluhu Hassan amehimiza kuheshimiwa kwa maamuzi ya wapiga kura akieleza kwamba demokrasia yenye nguvu hujengwa kwa misingi ya heshima na ms [...]
Takukuru Mwanza yakemea rushwa kipindi cha uchaguzi

Takukuru Mwanza yakemea rushwa kipindi cha uchaguzi

Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mwanza imewaonya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za M [...]
Rais Samiaa aagiza kufungwa eneo maafa yalipotokea Kariakoo

Rais Samiaa aagiza kufungwa eneo maafa yalipotokea Kariakoo

Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza eneo la biashara ambalo ghorofa lilianguka Novemba 16, Kariakoo Dar es Salaam, lifungwe na kusiwe na biashara yoyote [...]
Rais Samia: Hongera Stars

Rais Samia: Hongera Stars

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameipongeza Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwa kufuzu kushiriki Mashindano [...]
1 3 4 5 6 7 185 50 / 1844 POSTS
error: Content is protected !!