Category: Kitaifa

1 3 4 5 6 7 208 50 / 2072 POSTS
Safari treni ya Tazara kurejea mwezi Februari 10

Safari treni ya Tazara kurejea mwezi Februari 10

Shirika la Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) limetangaza kurejea kwa safari za treni za abiria kutoka Dar es Salaam kwenda New Kapiri Mposhi nchini Zam [...]
Mradi mpya wa REA kuzinduliwa Januari 16

Mradi mpya wa REA kuzinduliwa Januari 16

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatarajia kuzindua Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha Mtera tarehe 16 Januari 2026, ikifuatiwa [...]
Mfumo mpya wa kodi kuanza Februari 9

Mfumo mpya wa kodi kuanza Februari 9

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Februari 9, mwaka huu inatarajia kuanza rasmi matumizi ya Mfumo Jumuishi wa Usimamizi wa Ukusanyaji wa Mapato ya Ndan [...]
Miradi ya bilioni 15.7 kuufungua mkoa wa Lindi kiuchumi

Miradi ya bilioni 15.7 kuufungua mkoa wa Lindi kiuchumi

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mheshimiwa Zainab Telack, amefanya ziara ya kukagua miradi mitatu ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmshauri ya Manispaa ya [...]
Ujumbe kutoka DRC waishukuru Serikali ya Tanzania kwa kuendelea kutoa hifadhi kwa wakimbizi

Ujumbe kutoka DRC waishukuru Serikali ya Tanzania kwa kuendelea kutoa hifadhi kwa wakimbizi

Ujumbe wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ukiongozwa na Waziri wa Nchi, anayeshughulikia masuala ya Ustawi wa Jamii, Hatua za Kibinadamu na Msh [...]
Mabasi mapya 49 ya mwendokasi yawasili rasmi

Mabasi mapya 49 ya mwendokasi yawasili rasmi

Mabasi mapya na ya kisasa 49 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) yamewasili nchini yakiwa ya hadhi ya kimataifa. Mabasi hayo ya Golden Dragon [...]
Bandari ya Mtwara mbioni kupokea mitambo ya kuchimba gesi

Bandari ya Mtwara mbioni kupokea mitambo ya kuchimba gesi

Kwa mara ya kwanza katika historia, Bandari ya Mtwara inatarajiwa kuanza kupokea mitambo na vifaa vya kisasa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi mkubwa [...]
Zaidi ya shilingi bilioni 280 kutumika kuimarisha upatikanaji wa umeme Dar

Zaidi ya shilingi bilioni 280 kutumika kuimarisha upatikanaji wa umeme Dar

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema Serikali inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kuboresha miundombinu ya umeme nchini kwa len [...]
Manunuzi na bidhaa migodini yafikia trilioni 5

Manunuzi na bidhaa migodini yafikia trilioni 5

Serikali imetangaza kuongezeka kwa manunuzi ya huduma na bidhaa kwa kampuni za kitanzania kwenye migodi inayomilikiwa na Watanzania kwa asilimia 100 n [...]
Tanzania yavutia uwekezaji wa shilingi trilioni 26.95 kwa mwaka 2025

Tanzania yavutia uwekezaji wa shilingi trilioni 26.95 kwa mwaka 2025

Tanzania imeendelea kujijenga kama kitovu cha uwekezaji barani Afrika, jambo linalodhihirishwa na kuvutia uwekezaji wa nje wenye thamani ya TZS trilio [...]
1 3 4 5 6 7 208 50 / 2072 POSTS
error: Content is protected !!