Category: Kitaifa

1 55 56 57 58 59 184 570 / 1831 POSTS
EU yaipatia Tanzania Bil.34 kufikisha umeme vijijini

EU yaipatia Tanzania Bil.34 kufikisha umeme vijijini

Dhamira ya serikali ya Awamu ya Sita ya kuhakikisha umeme unafika mpaka vijijini kwa namna yoyote inaenda kutimia, baada ya Wakala wa Nishati Vijijini [...]
Rais Samia atoa milioni 70 kuisaidia Doris Mollel Foundation

Rais Samia atoa milioni 70 kuisaidia Doris Mollel Foundation

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amechangia Tsh. Milioni 70 kwa Doris Mollel Foundation, ambapo Tsh. Milioni 20 ameitoa kuw [...]
Rushwa chanzo cha chaguzi CCM kufutwa na kusimamishwa

Rushwa chanzo cha chaguzi CCM kufutwa na kusimamishwa

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amefuta na kusitisha baadhi ya Chaguzi ngazi ya Mikoa kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo rush [...]
Serikali kufanya mabadiliko ya Sera yake

Serikali kufanya mabadiliko ya Sera yake

Rais Samia Suluhu Hassan amesema kutokana na mabadiliko ya kiuchumi duniani, Serikali itafanya mapitio ya Sera yake ya mambo ya nje iliyodumu kwa miak [...]
Bei elekezi za gesi asilia kwa ajili ya magari

Bei elekezi za gesi asilia kwa ajili ya magari

Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) inakamilisha mchakato wa kuanza kutoa bei elekezi za gesi asilia kwa ajili ya matumizi ya magari. Pi [...]
Ujerumani yaipatia Tanzania msaada wa Bil.209

Ujerumani yaipatia Tanzania msaada wa Bil.209

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Ujerumani wameipata Tanzania msaada wa Shilingi bilioni 209,746,204,779.00 kwa ajili ya masua [...]
Mbunge Lugangira: Ndege ilishindwa kutua Uwanja wa Bukoba

Mbunge Lugangira: Ndege ilishindwa kutua Uwanja wa Bukoba

Mbunge wa Vita maalumu , Neema Lugangira ameiomba serikali kuchukua hatua katika maboresho ya uwanja wa ndege Bukoba. Kupitia ukurasa wake wa Insta [...]
Serikali kushirikiana na sekta binafsi ujenzi wa barabara ya haraka

Serikali kushirikiana na sekta binafsi ujenzi wa barabara ya haraka

Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi inakusudia kujenga barabara ya haraka (express way) kutoka Kibaha hadi Morogoro ambayo itakuwa ya kulipia. [...]
Diwani Rwakatare apotea tena

Diwani Rwakatare apotea tena

Yule Diwani aliyepotea kwa Miezi mitatu na kupatikana kwenye nyumba ya mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Ashura Ally Matitu, mkazi wa Tabata da [...]
Daraja la Uhasibu kuanza kutumika Januari 2023

Daraja la Uhasibu kuanza kutumika Januari 2023

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema kati ya Desemba hadi Januari mwaka 2023, daraja la juu makutano ya barabara za Kilwa na M [...]
1 55 56 57 58 59 184 570 / 1831 POSTS
error: Content is protected !!