Category: Kitaifa
EU yaipatia Tanzania Bil.34 kufikisha umeme vijijini
Dhamira ya serikali ya Awamu ya Sita ya kuhakikisha umeme unafika mpaka vijijini kwa namna yoyote inaenda kutimia, baada ya Wakala wa Nishati Vijijini [...]
Rais Samia atoa milioni 70 kuisaidia Doris Mollel Foundation
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amechangia Tsh. Milioni 70 kwa Doris Mollel Foundation, ambapo Tsh. Milioni 20 ameitoa kuw [...]
Rushwa chanzo cha chaguzi CCM kufutwa na kusimamishwa
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amefuta na kusitisha baadhi ya Chaguzi ngazi ya Mikoa kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo rush [...]

Serikali kufanya mabadiliko ya Sera yake
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kutokana na mabadiliko ya kiuchumi duniani, Serikali itafanya mapitio ya Sera yake ya mambo ya nje iliyodumu kwa miak [...]
Bei elekezi za gesi asilia kwa ajili ya magari
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) inakamilisha mchakato wa kuanza kutoa bei elekezi za gesi asilia kwa ajili ya matumizi ya magari.
Pi [...]
Ujerumani yaipatia Tanzania msaada wa Bil.209
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Ujerumani wameipata Tanzania msaada wa Shilingi bilioni 209,746,204,779.00 kwa ajili ya masua [...]
Mbunge Lugangira: Ndege ilishindwa kutua Uwanja wa Bukoba
Mbunge wa Vita maalumu , Neema Lugangira ameiomba serikali kuchukua hatua katika maboresho ya uwanja wa ndege Bukoba.
Kupitia ukurasa wake wa Insta [...]
Serikali kushirikiana na sekta binafsi ujenzi wa barabara ya haraka
Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi inakusudia kujenga barabara ya haraka (express way) kutoka Kibaha hadi Morogoro ambayo itakuwa ya kulipia. [...]
Diwani Rwakatare apotea tena
Yule Diwani aliyepotea kwa Miezi mitatu na kupatikana kwenye nyumba ya mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Ashura Ally Matitu, mkazi wa Tabata da [...]
Daraja la Uhasibu kuanza kutumika Januari 2023
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema kati ya Desemba hadi Januari mwaka 2023, daraja la juu makutano ya barabara za Kilwa na M [...]