Category: Kitaifa

1 63 64 65 66 67 198 650 / 1974 POSTS
Tanzania 10 bora nchi tajiri Afrika 2022

Tanzania 10 bora nchi tajiri Afrika 2022

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inashika namba 9 kwenye orodha ya nchi 10 tajiri kwa mujibu wa ripoti ya mtandao wa Zoom Afrika kwa mwaka 2022, Tanza [...]
Bilioni 2.2 za Rais Samia zakamilisha madarasa 110 Ilemela

Bilioni 2.2 za Rais Samia zakamilisha madarasa 110 Ilemela

Wanafunzi 12,548 waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela hawatakosa sehemu ya kusomea baada ya halmashauri [...]
Mahakama yatoa ruksa wafungwa kupiga kura jela

Mahakama yatoa ruksa wafungwa kupiga kura jela

Mahakama Kuu ya Tanzania imetengua Kifungu cha 11 (1) (c) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2015 kinachozuia wafungwa kup [...]
Fahamu faida za kulala ofisini

Fahamu faida za kulala ofisini

Kulala kwa angalau dakika 30 ukiwa kazini ni kitu muhimu sana kwani mwili umekua umechoka kwa kufanya kazi kwa muda mrefu hivyo unapojipumzisha na kis [...]
Maji yaanza kujazwa bwawa la Julius Nyerere

Maji yaanza kujazwa bwawa la Julius Nyerere

Historia imeandikwa leo nchini baada ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kubonyeza kitufe cha kuruhusu maji kujaa katika Bwawa la Kufua Umeme la Julius N [...]
Bwawa la Nyerere kujazwa maji leo

Bwawa la Nyerere kujazwa maji leo

Rais Samia Suluhu Hassan leo atazindua ujazaji maji katika bwawa la kufua umeme kwenye Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) uliopo Rufiji mk [...]
Ujenzi wa reli Tabora- Kigoma waiva

Ujenzi wa reli Tabora- Kigoma waiva

Kipande cha ujenzi wa reli ya kati Tabora- Kigoma kitagharimu dola za Marekani bilioni 2.7 sawa na shilingi trilioni 6.34. Reli hiyo ambayo mkataba [...]
Miaka 50 jela kwa kutaka kuipindua Serikali ya Tanzania

Miaka 50 jela kwa kutaka kuipindua Serikali ya Tanzania

Mahakama Kuu ya Diveshi ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imewatia hatiani watu sita, wakiwamo watatu wa familia moja na kuwahukumu kwenda jela mi [...]
Tanzania yaupiga mwingi Kombe la Dunia Qatar

Tanzania yaupiga mwingi Kombe la Dunia Qatar

Tanzania imenufaika na Michuano za Kombe la Dunia nchini Qatar kwa kuongeza mauzo ya nyama katika jimbo la Ghuba kwa mwezi mzima wa michuano hiyo. [...]
Njaa yawatesa waliokataa kuhama Ngorongoro

Njaa yawatesa waliokataa kuhama Ngorongoro

Ukame na njaa inayoendelea kuutikisa Mkoa wa Arusha na baadhi ya maeneo nchi umewafanya wananchi waliokataa kuhama kwa hiyari kutoka Bonde la Ngorongo [...]
1 63 64 65 66 67 198 650 / 1974 POSTS
error: Content is protected !!