Category: Kitaifa

1 86 87 88 89 90 193 880 / 1930 POSTS
Mpango: Mrema alikuwa kiongozi mkweli na mzalendo

Mpango: Mrema alikuwa kiongozi mkweli na mzalendo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango pamoja na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango wamefika salasala Jijini Dar es salaa [...]
Sensa ni siku 7 tunaomba uvumilivu

Sensa ni siku 7 tunaomba uvumilivu

Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi, Anne Makinda amesema wananchi watahesabiwa kwa siku saba hivyo wananchi ambao hawakufikiwa na makarani jana wasich [...]
Madhara ya kutumia kondomu

Madhara ya kutumia kondomu

Watu wengi wanatumia kondomu kama kinga ya kujilinda dhidi ya magonjwa ya zinaa na wengine kuepuka kupata mimba lakini ukweli ni kwamba kondomu zina m [...]
Karani mwingine wa Sensa aporwa kishkwambi Arusha

Karani mwingine wa Sensa aporwa kishkwambi Arusha

Karani wa Sensa ya Watu na makazi Jiji la Arusha, Sarapia Kiwango, ameporwa kishikwambi chake, wakati akijiandaa kwenda kuhesabu makundi maalum, usiku [...]
Askari aliyempiga virungu kijana achukuliwa hatua

Askari aliyempiga virungu kijana achukuliwa hatua

Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusu video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyessha kijana mmoja aliyefungwa pingu na kupigwa virungu [...]
Mwigulu kusomesha watoto wa diwani aliyekufa ajalini

Mwigulu kusomesha watoto wa diwani aliyekufa ajalini

Mbunge wa Singida Magharibi, Dk Mwigulu Nchemba ameahidi kulipa ada za masomo ya watoto wa aliyekuwa Diwani wa Viti Maalumu Tarafa ya Kinampanda wilay [...]
Huduma za MOI kupatikana Mtwara

Huduma za MOI kupatikana Mtwara

Huduma za kibingwa za Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), zitaanza kutolewa katika hospitali mpya ya kisasa ya Rufaa Kanda Mtwara, ikiwa ni ute [...]
Mrema kuzikwa Alhamisi Agosti 25,2022 Moshi

Mrema kuzikwa Alhamisi Agosti 25,2022 Moshi

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha TLP,Agustino Mrema anatarajiwa kuzikwa Alhamisi Agosti 25 katika kijiji cha Kilalacha mkoani Kilimanjaro. Maziko [...]
Maswali utakayoulizwa siku ya Sensa

Maswali utakayoulizwa siku ya Sensa

Ifuatayo ni orodha ya maswali 100 ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022. [...]
Mtoto wa Simbachawene asota mahabusu

Mtoto wa Simbachawene asota mahabusu

Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, amesema bado wanamshikilia mtoto wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, George Simb [...]
1 86 87 88 89 90 193 880 / 1930 POSTS
error: Content is protected !!