Category: Kitaifa
Msigwa: Serikali itatoa ufafanuzi
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema serikali itatoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara iliyotoka katika mishahara ya mwezi Julai, 2022 [...]
Tanesco yasitisha mfumo wa Nikonekt
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema linafanya maboresho ya mfumo wa Nikonekt kwa siku mbili leo na kesho.
Taarifa ya ofisi ya uhusiano Tan [...]
TICTS yatajwa kuwa chanzo cha matatizo kwa wafanyabiashara bandari ya Dar
Kushindwa kujiendesha kwa ufanisi kwa Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makasha (TICTS) kumesababisha msongamano wa makasha hayo bandari ya Dar es Sal [...]
Fahamu mambo anayotakiwa kujua karani wa sensa
Karani wa sensa atatakiwa kuuliza idadi ya watu wote waliolala katika kaya husika usiku wa kuamkia siku ya sensa. Atauliza majina ya watu wote waliola [...]
Rais Samia aeleza mbinu za kujitosheleza kwa chakula
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza hatua muhimu zinazopaswa kuchukuliwa na mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuweza kujitosheleza kwa chakul [...]
Dkt. Mpango asisitiza wananchi kuliombea taifa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa. Dkt. Philip Mpango leo tarehe 22 Julai 2022 ameshiriki ibada ya kawaida ya asubuhi katik [...]
Maoni ya ACT Wazalendo kuhusu utendaji kazi wa Kampuni binafsi ya kimataifa ya kuhudumia Makontena Tanzania (TICTS).
Baada ya wadau wa sekta za biashara na usafirishaji kuiomba serikali kutoiongezea mkataba mpya kampuni ya TICTS eneo la bandari ya Dar es Salaam kwa k [...]
IGP Wambura aanza kazi
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camilus Wambura amewataka wananchi wa jiji la Arusha kuendelea kutunza amani iliyopo na kutokujiingiza kwenye viten [...]
Bi. Sonia afariki
Muigizaji wa filamu, Farida Sabu maarufu Bi Sonia amefariki dunia.
Taarifa iliyotolewa na kuthibitishwa na Mwenyekiti wa Chama cha Waigizaji, Chiki [...]
Mradi mkubwa wa maji kujengwa Mwanza
Huenda wakazi wanaoishi kusini mwa jiji la Mwanza wakaondokana na shida ya upatikanaji wa maji safi na salama baada ya Serikali kuweka mikakati ya kub [...]