Category: Michezo

1 2 3 4 5 16 30 / 151 POSTS
Ramadhani Brothers wameiwakilisha vyema Tanzania

Ramadhani Brothers wameiwakilisha vyema Tanzania

Wanasarakasi wa Kitanzania Ramadhani Brothers, wamefanikiwa kuingia nusu fainali ya mashindano ya Australia Got Talent lakini kushindwa kutwaa ubingwa [...]
SIMBA SC: Muharami hakuwa muajiri wetu

SIMBA SC: Muharami hakuwa muajiri wetu

Uongozi wa Klabu ya Simba umesema kocha wa makipa Muharami Said Mohammd ‘Shilton’ aliyekamatwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya [...]
Rais Samia awapongeza Yanga SC

Rais Samia awapongeza Yanga SC

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu, ameipongeza klabu ya Yanga kwa kufanikiwa kuingia kwenye hatua ya makundi ya mashindano ya kombe la shirikisho barani [...]
Bye Bye Dejan ‘Mzungu’

Bye Bye Dejan ‘Mzungu’

Mchezaji wa kigeni kwenye klabu ya Simba, Dejan Georgijevic amethibitisha kuvunjika kwa mkataba kati yake na klabu hiyo ya wekundu wa msimbazi taarifa [...]
Mwamuzi pambano la Mandonga asimamishwa

Mwamuzi pambano la Mandonga asimamishwa

Mwamuzi Habibu Mohammed aliyechezesha pambano la Karim Mandonga na Salim Abeid amesimamishwa na Chama cha Waamuzi wa Ngumi nchini kwasababu ya kucheze [...]
Morrison alimwa faini

Morrison alimwa faini

Winga wa Yanga, Bernard Morrison amelimwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la kumkanyaga kwa makusudi mchezaji wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda ambaye alikuw [...]
TFF yapitisha usajili wa Kisinda Yanga

TFF yapitisha usajili wa Kisinda Yanga

Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) [...]
Busara yatumika kupunguza faini ya Manara

Busara yatumika kupunguza faini ya Manara

Kamati ya rufaa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu TFF leo imetangaza kumpunguzia adhabu Msemaji wa Yanga Haji Manara kutoa milioni 20 ya faini aliyotaki [...]
Shabiki wa Yanga SC afariki

Shabiki wa Yanga SC afariki

Uongozi wa Klabu ya Yanga na Kamati ya Utendaji chini ya Rais Eng.Hersi Said umesema umepokea kwa masikitiko taarifa ya ajali ya Mashabiki wa Yanga wa [...]
Yanga SC yashangazwa kutoalikwa mkutano wa CAF

Yanga SC yashangazwa kutoalikwa mkutano wa CAF

Uongozi wa Klabu ya Yanga umesema umeshangazwa kwanini hawakupewa mwaliko wa kuudhuria mkutano wa 44 wa Shirikisho la CAF. Kaimu Ofisa Mtendaji Mku [...]
1 2 3 4 5 16 30 / 151 POSTS
error: Content is protected !!