Category: Michezo

1 2 3 4 5 16 30 / 153 POSTS
Brazil ‘Out’ Kombe la Dunia

Brazil ‘Out’ Kombe la Dunia

Timu ya Taifa ya Brazil ambayo ndio timu inayoongozwa kwa ubora wa soka duniani kwa mujibu wa viwango vya Shirikisho la mpira duniani (FIFA), imeshind [...]
Yanga unbeaten nani kasema ?

Yanga unbeaten nani kasema ?

Timu ya Yanga SC imeangukia pua baada ya kukubali kichapo cha goli 2- 1 kutoka timu ya Ihefu katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa leo kwenye dim [...]
Ramadhani Brothers wameiwakilisha vyema Tanzania

Ramadhani Brothers wameiwakilisha vyema Tanzania

Wanasarakasi wa Kitanzania Ramadhani Brothers, wamefanikiwa kuingia nusu fainali ya mashindano ya Australia Got Talent lakini kushindwa kutwaa ubingwa [...]
SIMBA SC: Muharami hakuwa muajiri wetu

SIMBA SC: Muharami hakuwa muajiri wetu

Uongozi wa Klabu ya Simba umesema kocha wa makipa Muharami Said Mohammd ‘Shilton’ aliyekamatwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya [...]
Rais Samia awapongeza Yanga SC

Rais Samia awapongeza Yanga SC

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu, ameipongeza klabu ya Yanga kwa kufanikiwa kuingia kwenye hatua ya makundi ya mashindano ya kombe la shirikisho barani [...]
Bye Bye Dejan ‘Mzungu’

Bye Bye Dejan ‘Mzungu’

Mchezaji wa kigeni kwenye klabu ya Simba, Dejan Georgijevic amethibitisha kuvunjika kwa mkataba kati yake na klabu hiyo ya wekundu wa msimbazi taarifa [...]
Mwamuzi pambano la Mandonga asimamishwa

Mwamuzi pambano la Mandonga asimamishwa

Mwamuzi Habibu Mohammed aliyechezesha pambano la Karim Mandonga na Salim Abeid amesimamishwa na Chama cha Waamuzi wa Ngumi nchini kwasababu ya kucheze [...]
Morrison alimwa faini

Morrison alimwa faini

Winga wa Yanga, Bernard Morrison amelimwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la kumkanyaga kwa makusudi mchezaji wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda ambaye alikuw [...]
TFF yapitisha usajili wa Kisinda Yanga

TFF yapitisha usajili wa Kisinda Yanga

Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) [...]
Busara yatumika kupunguza faini ya Manara

Busara yatumika kupunguza faini ya Manara

Kamati ya rufaa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu TFF leo imetangaza kumpunguzia adhabu Msemaji wa Yanga Haji Manara kutoa milioni 20 ya faini aliyotaki [...]
1 2 3 4 5 16 30 / 153 POSTS
error: Content is protected !!