Jux na zawadi hii kwa mashabiki

HomeBurudani

Jux na zawadi hii kwa mashabiki

Msanii na mmiliki wa lebo ya African Boy, Juma Jux ameahidi kutoa zawadi ya fedha kiasi cha shilingi laki moja kwa shabiki atakaye weza kuotea tarehe anayotarajia kuachia video ya ngoma yake mpya ya ‘I Love You’ aliyomshirikisha mrembo kutoka Ghana, Gyakie.

 

View this post on Instagram

 

A post shared by Juma_jux?? (@juma_jux)

error: Content is protected !!