Tag: Bunge la Tanzania
Marufuku kuvuta sigara hadharani
Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema tayari bunge limepitisha Sheria ya Udhibiti wa Tumbaku ijulikanayo kama “The Tobacco Products (Regulation) Act [...]
Fahamu mambo atakayofanya Rais Samia Uturuki
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi nchini Uturuki kuanzia leo Aprili 17 hadi 20, 2024 kufuatia mwaliko wa Rais wa [...]
Rais Samia hahusiki na sadaka ya Sh 5,000 Pemba, ni upotoshaji
Mkuu wa Mkoa Kusini Pemba, Amour Hamad Salehe, amekanusha taarifa za uzushi zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kwamba Mhe Rais Samia Suluhu Has [...]
Jengo jipya la abiria Uwanja wa Ndege Songwe lakamilika
Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imekamilisha kwa asilimia 100 ujenzi wa jengo jipya la abiria katika uwanja wa ndege wa Songwe [...]
Rais Samia : Wakuu wa Mikoa ni marais katika maeneo yenu
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wakuu wa mikoa nchini kutatua changamoto za wananchi, ikiwemo migogoro ya ardhi pamoja na kuongeza ukusanyaji wa ma [...]
Rais Samia aipongeza Yanga SC
Rais wa Samia Suluhu Hassan, ameipongeza Yanga SC, kwa kufanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya kuishushia kichap [...]
Rais Samia Suluhu na Papa Francis kuendeleza uhusiano wa Tanzania na Vatican
Rais Samia Suluhu amekutana na Papa Francis leo Februari 12,2024 San Damaso mjini Vatican na kufanya mazunguko ya faragha.
Pia Rais Samia alikutana [...]
TPDC yasaini mikataba ya Sh60 bilioni kuongeza umiliki wa kitalu
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeongeza mara mbili umiliki wa kitalu cha gesi asilia cha Mnazi Bay baada ya kusaini mikataba miwili [...]
Sera za uchumi za Rais Samia zaleta neema kwa mabenki
Na Mwandishi Wetu
Dar es Salaam
Sera nzuri za uchumi za serikali tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani zimeleta neema kubwa kwenye se [...]
Gloria apangiwa shule ya wavulana kujiunga kidato cha kwanza
Gloria Adhiambo Owino mwenye umri wa miaka 14 kutoka nchini Kenya amejikuta akipangiwa kujiunga kidato cha kwanza katika Shule ya Wavulana na Lenana a [...]

