Tag: Bunge la Tanzania
Rais Samia apewa maua yake na klabu ya Seattle Sounders Marekani
Mashabiki takribani 31,620 waliohudhuria mechi ya Ligi Kuu ya Soka ya Marekani na mamilioni zaidi duniani waliokuwa wakitazama “live” mechi ya Seattle [...]

Rais Samia aanza mchakato wa kupata Katiba Mpya
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhes. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Mutungi, kuitisha kikao maalum cha Baraz [...]
Salim Kikeke aaga BBC
Mtangazaji nguli wa habari wa Shirika la Habari la Uingereza (BBC) ,Salim Kikeke ametangaza kustaafu kazi katika shirika hilo baada ya kulitumikia kwa [...]
Aliyeua na kula nyama za mtoto wake apelekwa rumande siku 10
Mahakama ya Kajiado imeamuru kuzuiliwa kwa mwanamke anayekabiliwa na shtaka la mauaji baada ya kudaiwa kumuua bintiye wa miaka miwili kwa kumkata vipa [...]
Yanayosubiriwa Mei Mosi mwaka huu
Ikiwa zimebaki siku chache kabla ya kufanyika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), yapo mambayo kadhaa yakajitokeza katika sherehe z [...]
Bandari ya Mtwara yaanza kusafirisha makasha
Bandari ya Mtwara Mkoani Mtwara imezindua huduma ya meli ya kusafirisha makasha. Huduma hizo zimezinduliwa leo Aprili 20, 2023 na Naibu Waziri wa Ujen [...]
Madini ya kinywe na adimu kuvutia uwekezaji nchini
Serikali inatarajia kuvutia uwekezaji wa Dola za Marekani milioni 667 sawa na Sh1.5 trilioni baada ya kuanza kuchimba na kuchakata madini ya kinywe na [...]
Rais Samia apongezwa kwa hatua alizochukua ripoti ya CAG
Baada ya dosari nyingi kufichuliwa na ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22, watoa maoni mbalimbali wamehusi [...]
Fahamu miji 8 mizuri barani Afrika
Vyombo vingi vya habari hasa nje ya Afrika, hulizungumzia bara la Afrika kama masikini lenye mazingira ambayo siyo rafiki na kuonyesha picha zenye kue [...]
Afariki dunia baada kunywa pombe bila kula
Asia Eliya (24), Mhudumu wa baa Nyemo amefariki dunia kwa madai ya kunywa pombe kupita kiasi bila kula chakula.
Mwenyekiti wa Mtaa wa Picha ya Ndeg [...]

