Tag: Bunge la Tanzania
Aliyesambaza taarifa za uongo kifo cha Mwakyembe adakwa
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, linawashikilia watuhumiwa wawili kwa makosa ya kimtandao kufuatia msako unaoendelea.
Taarifa iliyoto [...]
Pweza kufuatiliwa kieletroniki Kilwa
Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa inaanzisha mfumo maalumu wa kufuatilia biashara ya pweza kielektroniki kuanzia wanapovuliwa, kusafirishwa hadi wanapouz [...]
Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki
Hatimaye mara baada ya kusubiri kwa muda mrefu wabunge tisa watakaoiwakilisha Tanzania katika Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala) wamepatikan [...]
Ashikiliwa kwa kumuua mkewe baada ya kumuota mchawi
Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia mkazi wa Kijiji cha Inala, Ali Mkonongo kwa tuhuma za kumuua mke wake, Mariam Yusuph kwa kumpiga na kitu k [...]
Tanzania yang’ara kuwa na usalama wa mtandao
Tanzania imetajwa kuwa nchi ya pili katika kielezo cha usalama wa mtandao (GCI) kwa mawaka 2020, wka mujibu wa Shirika la Mawasiliano la Kimataifa (IT [...]
Ashtakiwa kwa kununua Premio badala ya tani 60 za mahindi
Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limemkamata Castory Mapunda (42) anayetuhumiwa kutumia sehemu ya Sh milioni 41 alizopewa kwa ajili ya kununua mahindi t [...]
Afariki kwenye ajali akimkimbiza mumewe na mchepuko
Mwanamke mmoja nchini Nigeria amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari wakati akimfukuzia mumewe aliyekuwa na mwanamke mwingine kwenye gari.
K [...]
Panya Road walivyokamatwa na Polisi
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema wahalifu sita wa unyang’anyi wa kutumia silaha wamefariki dunia baada ya kujeruhiwa wakijaribu [...]
Daraja la Wami kuanza kutumika Septemba 30
Daraja jipya la Wami lenye urefu wa mita 513.5 na barabara unganishi ya kilometa 3.8 litaanza kutumika Septemba 30, 2022.
Akizungumza katika ziara [...]
Magazeti ya leo Septemba 18,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumapili Septemba 18,2022.
[...]

