Tag: Bunge la Tanzania
Aliyeua ajiua
Said Oswayo anayedaiwa kumuua kwa kumpiga risasi kadhaa mke wake Swalha Salum (28) naye amekutwa amejiua kwa kujipiga risasi.
Kaimu Kamanda wa Poli [...]
Mashine za kuhesabu magari kufungwa barabarani
Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), inawatangazia wananchi na wadau wote usafirishaji kuwa inaendelea na maboresho katika miundombinu ya barabara [...]
Moto wateketeza soko Temeke
Soko la Vetereni lililopo Temeke, Dar es Salaam limeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo na kuunguza vibanda vipatavyo 250 kati ya 453.
Mkuu wa Mk [...]
Tahadhari juu ya bei ya sukari duniani
Bei ya sukari inatarajiwa kupanda kutokana na vikwazo vya kuuza nje na mataifa kadhaa muhimu yanayozalisha bidhaa zinazotaka kudhibiti kupanda kwa bei [...]
Auawa na mumewe kwa kupigwa risasi za kichwa
Mwanamke maarufu jijini Mwanza aitwaye Swalha, aliyekuwa akijishughulisha na masuala ya urembo (make up artist) ameuawa kwa kupigwa na risasi na mumew [...]
Samia apeleka kicheko Katavi
Wananchi wa Kijiji na Kata ya Inyonga Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi wameishukuru Serikali kwa kuwasogezea huduma ya maji karibu ambapo [...]
Mjamzito atolewa figo kwa siri
Nchi Uganda, Polisi wanachunguza tukio la madaktari kutoa figo kwa siri ya mjamzito Peragiya Muragijemana (20) mkazi wa Kijiji cha Lwemiggo, wilayani [...]
Shaka ajibu mapigo ya NCCR-Mageuzi
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka amejibu tuhuma zilizotolewa na mwanasiasa Joseph Selasini kwamba Chama cha Map [...]
Magazeti ya leo Mei 28,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Mei 28,2022.
[...]
Nchi za Afrika zenye monkeypox
Morocco na Sudan zinachunguza visa vinavyoshukiwa vya ugonjwa wa monkeypox, imesema taasisi hiyo ya afya barani.
Hii inakuja baada ya milipuko ya v [...]

