Tag: Freeman Mbowe

1 43 44 45 46 47 99 450 / 984 POSTS
Serikali imetoa bilioni 15 ununuzi wa magari ya makanda wa polisi

Serikali imetoa bilioni 15 ununuzi wa magari ya makanda wa polisi

Serikali imetoa kiasi cha Sh bilioni 15 kwa ajili ya kununua magari ya makamanda wa polisi katika mikoa pamoja na wiliaya (OCD) ili kurahisisha utenda [...]
Magazeti ya leo Agosti 26,2022

Magazeti ya leo Agosti 26,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Agosti 26,2022. [...]
Karani akutwa amelewa Musoma

Karani akutwa amelewa Musoma

Watu watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kujaribu kukwamisha Sensa ya Watu na Makazi mjini Musoma. Mratibu wa Sensa wa Manispaa ya Musoma, [...]
Fahamu makao makuu ya kuku Tanzania

Fahamu makao makuu ya kuku Tanzania

Ni rasmi sasa Mkoa wa Tabora ndiyo unaoongoza kwa kuzalisha kuku wengi zaidi wa kienyeji Tanzania baada ya takwimu mpya kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwi [...]
Mahakama yamtoza mtoto wa Simbachawene faini laki 2

Mahakama yamtoza mtoto wa Simbachawene faini laki 2

Mfanyabiashara, James Simbachawene (24) ambaye ni mtoto wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), George Simbachawene, amehukum [...]
Dickson (37) atuhumiwa kumnajisi mtoto wa miaka 15

Dickson (37) atuhumiwa kumnajisi mtoto wa miaka 15

Polisi mkoani Katavi inamshikilia Ofisa Mipango Miji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, Dickson Mwenda (37), kwa tuhuma za kunajisi mtoto wa miaka 1 [...]
Opereshi kukamata mifuko ya plastiki kuanza Agosti 29

Opereshi kukamata mifuko ya plastiki kuanza Agosti 29

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ameelekeza operesheni ya kukamata Mifuko ya plastiki iliyokatazwa kuanza rasmi Jumatatu ya August 29 k [...]
Warudisha mahari baada ya kuteseka kwenye ndoa

Warudisha mahari baada ya kuteseka kwenye ndoa

Mtendaji wa Kijiji cha Mpwayungu Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Selemani Kibakaya ,amesema wazazi wawili waliowaoza binti zao wenye umri wa miaka 1 [...]
Sensa ni siku 7 tunaomba uvumilivu

Sensa ni siku 7 tunaomba uvumilivu

Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi, Anne Makinda amesema wananchi watahesabiwa kwa siku saba hivyo wananchi ambao hawakufikiwa na makarani jana wasich [...]
Karani mwingine wa Sensa aporwa kishkwambi Arusha

Karani mwingine wa Sensa aporwa kishkwambi Arusha

Karani wa Sensa ya Watu na makazi Jiji la Arusha, Sarapia Kiwango, ameporwa kishikwambi chake, wakati akijiandaa kwenda kuhesabu makundi maalum, usiku [...]
1 43 44 45 46 47 99 450 / 984 POSTS
error: Content is protected !!